- 603 viewsMamlaka nchini Ufaransa imeongeza ulinzi mjini Paris kabla ya mechi kati ya Ufaransa-Israel siku ya Alhamisi, kwa matumaini ya kuepuka kurejewa kwa ghasia mbaya kati ya wenyeji na mashabiki wa soka wa Israeli kama zilizotokea Amsterdam wiki iliyopita. Mechi ya Nations League itakayochezwa katika uwanja wa Stade de France inafanyika wakati kuna hali ya wasi wasi, huku uhusiano wa kidiplomasia baina ya Rais Emmanuel Macron na Kiongozi wa Israeli Benjamin Netanyahu unayumba kutokana na vita vya Israel huko Gaza. Takriban maafisa polisi 4,000 watalilinda tukio hilo, polisi wamepelekwa uwanjani, nje ya uwanja na kwenye usafiri wa umma, polisi mjini Paris ilisema. Maafisa polisi kadhaa na magari tayari yameanza kufanya doria nje ya uwanja wa Stade de France siku ya Jumatano mchana, wakati timu hizo mbili zikiwa katika mazoezi. #ufaransa #paris #mechi #nationsleague #emmanuelmacron #benjaminnetanyahu #israeli #voa #voaswahili
Ufaransa yaimarisha ulinzi kuepusha ghasia zilizotokea Amsterdam
- 21 Apr 2025 - Britain said on Sunday two of its fighter jets had intercepted Russian aircraft over the Baltic Sea close to NATO alliance airspace in separate incidents on Tuesday and Thursday.
- 21 Apr 2025 - As Brazil, this year’s United Nations annual climate summit host, faces criticism for its continued interest in oil production, a leading development expert has come to the country’s defence. “Brazil has been portrayed by the media, activists and other…
- 21 Apr 2025 - South Sudanese government forces have retaken the town of Nasir which had been a flashpoint in a deepening political crisis, an army spokesman said on Sunday.
- 21 Apr 2025 - Former Prime Minister Raila Odinga has threatened to take legal action to contest the grabbing of 16 16-acre piece of land belonging to the Congo Mosque in Kwale County.
- 21 Apr 2025 - Budget 2025: Kenya targets growth, reality suggests economic headwinds
- 21 Apr 2025 - Mosquitoes in Nairobi are close to 100 per cent harmless, says expert
- 21 Apr 2025 - Mombasa governor taken to task over allocation of Buxton Estate houses
- 21 Apr 2025 - Sermons against graft, debt and insecurity dominate Easter Sunday
- 21 Apr 2025 - New study shows antibiotics resistance killed 3m children in 2022, seeks urgent action
- 21 Apr 2025 - Sifuna petitions Senate over cruel evictions, lack of compensation