- 635 viewsIdadi ya vifo kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Lebanon tangu ilipoanza kuwapiga wanamgambo wa Hezbollah wanaoungwa mkono na Iran, imefikia watu 3,365. Hesabu ya wizara ya afya ya Lebanon pia inasema idadi ya watu waliojeruhiwa imefikia watu 14,344. Jeshi la Israel IDF, limesema kwamba limeongeza operesheni zake za ardhini kusini mwa Lebanon, linapoendelea na mashambulizi ya anga mjini Beirut. Ndege za kivita za Israel zimeendelea kushambulia malengo ya Hezbollah kusini mwa Beirut, huku jeshi likidai kwamba linaendelea kuharibu darzeni ya mifumo ya kurusha makombora ya Hezbollah, nchini Lebanon. Israel imesema kwamba makamanda kadhaa wa Hezbollah wameuawa katika mashambulizi ya hivi karibuni kusini mwa Lebanon. Wanamgambo wa Hezbollah nao wamesema kwamba wameshambulia sehemu za kaskazini mwa Israel kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubani na makombora. - AP #voaswahili #afrika #israel #syria #hamas #beirut #lebanon #hezbollah #malengo
Ndege za kivita za Israel zashambulia malengo ya Hezbollah kusini mwa Lebanon
- 21 Apr 2025 - Britain said on Sunday two of its fighter jets had intercepted Russian aircraft over the Baltic Sea close to NATO alliance airspace in separate incidents on Tuesday and Thursday.
- 21 Apr 2025 - As Brazil, this year’s United Nations annual climate summit host, faces criticism for its continued interest in oil production, a leading development expert has come to the country’s defence. “Brazil has been portrayed by the media, activists and other…
- 21 Apr 2025 - South Sudanese government forces have retaken the town of Nasir which had been a flashpoint in a deepening political crisis, an army spokesman said on Sunday.
- 21 Apr 2025 - Former Prime Minister Raila Odinga has threatened to take legal action to contest the grabbing of 16 16-acre piece of land belonging to the Congo Mosque in Kwale County.
- 21 Apr 2025 - Budget 2025: Kenya targets growth, reality suggests economic headwinds
- 21 Apr 2025 - Mosquitoes in Nairobi are close to 100 per cent harmless, says expert
- 21 Apr 2025 - Mombasa governor taken to task over allocation of Buxton Estate houses
- 21 Apr 2025 - Sermons against graft, debt and insecurity dominate Easter Sunday
- 21 Apr 2025 - New study shows antibiotics resistance killed 3m children in 2022, seeks urgent action
- 21 Apr 2025 - Sifuna petitions Senate over cruel evictions, lack of compensation