Wanaharakati: Watu 1,700 watumiwa kufanya ushawishi COP29
Kikundi cha wanaharakati walitumia nyoka mkubwa wa bandia kama nyenzo ya kufikisha ujumbe ndani ya ukumbi wa kongamano la COP 29 Ijumaa (Novemba 15) wakishinikiza kuwa watu wanaofanya ushawishi kwa niaba ya wachimbaji mafuta na gesi asilia katika mkutano huo kutolewa nje ambapo nchi mbalimbali zinajaribu kufikia makubaliano kuchukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Ripoti ya Muungano wa kikundi cha Kick Out the Polluters Coalition ilisema zaidi ya washawishi 1,700 walikuwa wanahudhuria mkutano huo wa kila mwaka wa hali ya hewa. Mwaka 2023 kulikuwa na zaidi ya watu 2,400 waliokuwa wanafanya ushawishi kuhusu katika COP 28, lakini mahudhurio ya COP yalikuwa ni idadi kubwa zaidi kwa jumla. -Reuters
#cop29 #azerbaijan #fossilfuels #voaafrica #lobbyists #maandamano #voa #voaswahili
20 Apr 2025
- The incident comes amid increasing human-wildlife conflict.
20 Apr 2025
- Long distance truck drivers have bottles on their wheels for a unique reason.
20 Apr 2025
- The governor responded after a report claimed his county led in mysterious cancelled payments amounting to billions of shillings.
21 Apr 2025
- Britain said on Sunday two of its fighter jets had intercepted Russian aircraft over the Baltic Sea close to NATO alliance airspace in separate incidents on Tuesday and Thursday.
21 Apr 2025
- As Brazil, this year’s United Nations annual climate summit host, faces criticism for its continued interest in oil production, a leading development expert has come to the country’s defence. “Brazil has been portrayed by the media, activists and other…
21 Apr 2025
- South Sudanese government forces have retaken the town of Nasir which had been a flashpoint in a deepening political crisis, an army spokesman said on Sunday.
21 Apr 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga has threatened to take legal action to contest the grabbing of 16 16-acre piece of land belonging to the Congo Mosque in Kwale County.
21 Apr 2025
- Budget 2025: Kenya targets growth, reality suggests economic headwinds
21 Apr 2025
- Mosquitoes in Nairobi are close to 100 per cent harmless, says expert
21 Apr 2025
- Mombasa governor taken to task over allocation of Buxton Estate houses
21 Apr 2025
- Sermons against graft, debt and insecurity dominate Easter Sunday
21 Apr 2025
- New study shows antibiotics resistance killed 3m children in 2022, seeks urgent action
21 Apr 2025
- Sifuna petitions Senate over cruel evictions, lack of compensation