Moto Uhispania wauwa watu 10 katika jumba la wastaafu
Moto ulisababisha vifo vya takriban watu 10 katika jumba la wastaafu kaskazini mwa Uhispania, serikali ya mkoa wa Aragon imesema leo Ijumaa.
Moto huo katika mji wa Villafranca del Ebro, kilomita 35 kusini mashariki mwa Zaragoza ulianza katika makazi ya wazee mapema leo. Ilichukua saa kadhaa kwa wafanyakazi wa zima moto kutoka eneo la Zaragoza kudhibiti moto huo, msemaji wa serikali ya mkoa alisema. Msemaji huyo hakusema iwapo waathirika wote walikuwa wakazi wa mji huo wa wastaafu, ambapo takriban watu 82 wanaishi hapo. Mtu mmoja alikuwa katika hali mbaya kiafya, huku watu kadhaa wengine wakipata huduma, haswa kutokana na kuvuta moshi. Chanzo cha moto huo bado kinaendelea kuchunguzwa.
#moto #uhispania #vifo #makazi #wazee #wastaafu #jengo #aragon #zaragoza #voa #voaswahili
20 Apr 2025
- The incident comes amid increasing human-wildlife conflict.
20 Apr 2025
- Long distance truck drivers have bottles on their wheels for a unique reason.
20 Apr 2025
- The governor responded after a report claimed his county led in mysterious cancelled payments amounting to billions of shillings.
21 Apr 2025
- Britain said on Sunday two of its fighter jets had intercepted Russian aircraft over the Baltic Sea close to NATO alliance airspace in separate incidents on Tuesday and Thursday.
21 Apr 2025
- As Brazil, this year’s United Nations annual climate summit host, faces criticism for its continued interest in oil production, a leading development expert has come to the country’s defence. “Brazil has been portrayed by the media, activists and other…
21 Apr 2025
- South Sudanese government forces have retaken the town of Nasir which had been a flashpoint in a deepening political crisis, an army spokesman said on Sunday.
21 Apr 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga has threatened to take legal action to contest the grabbing of 16 16-acre piece of land belonging to the Congo Mosque in Kwale County.
21 Apr 2025
- Mosquitoes in Nairobi are close to 100 per cent harmless, says expert
21 Apr 2025
- Mombasa governor taken to task over allocation of Buxton Estate houses
21 Apr 2025
- The burden of leukemia
21 Apr 2025
- The Ministry of Health (MoH) is urging more vigilance after three new cholera cases were confirmed, raising the number of cases to 125.
21 Apr 2025
- In a bid to re-affirm Nairobi's long-standing diplomatic and economic ties with Beijing, the week-long deliberations with his host President Xi Jinping will focus on Debt payment and financing for major infrastructure projects, which include the…
21 Apr 2025
- Pressure mounts to relocate hazardous Naivasha dumpsite