Wanamibia wafurahia kuchaguliwa rais wa kwanza mwanamke
Netumbo Nandi-Ndaitwah amekuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais nchini Namibia.
Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, aligombea urais kwa chama kinachotawala cha SWAPO.
Ushindi wake utaendeleza uitawala wa miaka 34 wa SWAPO madarakani, tangu Namibia ilipopata uhuru kutoka kwa Afrika kusini mwaka 1990.
Tume ya uchaguzi ya Namibia imetangaza matokeo rasmi yanayoonyesha kwamba amepata asilmia 57 ya kura.
Kulingana na katiba ya Namibia, mshindi wa kura za urais anahitajika kupata asilimia 50 ya kura.
Baada ya kutangazwa mshindi, Nandi – Ndaitwah amesema kwamba wapiga kura wa Namibia wamechagua amani na utulivu.
Amekuwa mwanachama wa SWAPO tangu miaka ya 1960 wakati chama hicho kilikuwa kinapigania uhuru na amehudumu katika nafasi mbalimbali za ngazi ya juu serikalini ikiwemo waiziri wa mambo ya nje.
Mshindani wake mkuu Panduleni Itula, wa chama cha Independent Patriots for Change (IPC), amemaliza katika nafasi ya pili kwa akiwa na asilimia 29 ya kura.
Chama cha IPC kimedai udanganyifu katika uchaguzi huo na kimesema kitapinga matokeo mahakamani.
Uchaguzi wa Nove 27 ulikumbwa na matatizo ya kiufundi na uhaba wa karatasi za kupigia kura na kupelekea matokeo kuchelewa kutangazwa.
- Vyanzo mbalimbali
#NetumboNandiNdaitwah #namibia #SWAPO #rais #uchaguzi #voa #voaswahili
5 Feb 2025
- Panic, confusion, and fear have gripped the country since the funding freeze was announced last month.
5 Feb 2025
- The authority intervened following consistent complaints from area residents.
5 Feb 2025
- There is a rising worry of the safety of patients in hospitals across the county.
5 Feb 2025
- DCI detectives have arrested two Kenyans for allegedly housing 58 illegal Ethiopian immigrants destined for South Africa at a house in Kitengela, Kajiado County.
5 Feb 2025
- President William Ruto has commissioned the Shuublow electrification project in Wajir East constituency, Wajir County.
5 Feb 2025
- President William Ruto has commissioned the Shuublow electrification project in Wajir East constituency, Wajir County.
5 Feb 2025
- Government Spokesperson Isaac Mwaura on Wednesday said the operations of the Kenya-led multinational security support mission in Haiti won’t be jeopardised after the United States froze its financial contributions to the force’s United Nations fund.
5 Feb 2025
- Doctors at Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) in Eldoret have commenced industrial action after failure by the management to address their grievances that were not implemented in the Collective Bargaining Agreement (CBA).
5 Feb 2025
- Goma, which fell to M23 fighters and the Rwandan military last week, has become a symbol of the conflict that has ripped apart the eastern Democratic Republic of Congo over three decades.
5 Feb 2025
- Wild monkeys egged on by YouTubers have been rampaging at Cambodia's famed Angkor Wat complex, attacking tourists, wrecking temple stonework and damaging information boards, officials said Wednesday.
5 Feb 2025
- Panic, confusion, and fear have gripped the country since the funding freeze was announced last month.
5 Feb 2025
- His Highness was a beacon of wisdom and insight.
5 Feb 2025
- Narok County Senator Ledama Olekina has thrown his weight behind US President Donald Trump’s decision to halt foreign aid. In his statement shared via his official X account on Wednesday, February 5, 2025, Olekina welcomed the decision saying it is time…