- 199 viewsWaasi wa kikundi cha Hayat Tahrir al-Sham (HTS) wamesema walikuwa wameikamata miji ya Syria ya Talbis na Rastan. Hatua hiyo imewafikisha ndani ya kilometa kadhaa karibu na mji wa Homs, kanda za video katika mitandao ya kijamii Ijumaa (Desemba 6) zinaonyesha kile kilichosemwa ni waasi wakipita na magari katika mji wa Rastan. Kanda ya video hiyo iliyochukuliwa kutoka juu ya jengo moja, iliwaonyesha wapiganaji hao wakipita na magari na pikipiki wakifyatua risasi hewani kusherehekea wakati msafara huo ulipopita mjini humo. Shirika la Habari la Reuters liliweza kuthibitisha eneo hilo kuwa ni Rastan, mji ulioko takriban kilomita 20 kaskazini mwa Homs, kutokana na mpangilio wa mitaa, majengo, mnara wa msikiti na mnara wa saa unaonekana kutoka mbali unaofanana na picha za satalaiti na picha za kumbukumbu. Reuters haikuweza kuthibitisha tarehe maalum video hiyo ilichukuliwa, lakini Kikundi kinachofuatilia haki za binadamu Syria kimeripoti kuwa mji huo ulichukuliwa na waasi Ijumaa (Desemba 6). Mashambulizi ya mabomu yaliyofanywa na Russia usiku kucha yameharibu daraja la Rastan katika barabara kuu ya M5, ambayo ndiyo njia kuu kwenda Homs, kuwazuia waasi hao kulitumia kusonga mbele, afisa wa jeshi wa Syria ameiambia Reuters. Hezbollah imetuma idadi ndogo ya “vikosi vya uangalizi” kutoka Lebanon kwenda Syria usiku kucha kuwasaidia kuzuia waasi wanaipinga serikali kuukamata mji wa kimkakati wa Homs, maafisa wawili wa ngazi ya juu w wa Lebanon wameiambia Reuters. Afisa wa jeshi la Syria na maafisa wawili wa kanda ambao wako karibu na Tehran pia wameiambia Reuters kuwa vikosi maalum kutoka kikundi kinachoungwa mkono na Iran, Hezbollah walivuka kutoka Lebanon na kuingia Syria usiku kucha na wameanza ulinzi wa Homs. - Reuters #waasi #hayattahriralsham #syria #tablis #rastan #hezbollah #iran #voa #voaswahili
Waasi wa Hayat Tahrir al-Sham waiteka miji miwili chini ya serikali
- - The Mathare Derby ››
- 19 Apr 2025 - Donald Trump's simmering discontent with the US Federal Reserve boiled over this week, with the president threatening to take the unprecedented step of ousting the head of the fiercely independent central bank.
- 19 Apr 2025 - Leaders in the Kenya Kwanza government have rallied the Maasai community in Kajiado to reject former Deputy President Rigathi Gachagua’s opposition politics, accusing him of peddling untruths.
- 19 Apr 2025 - Four people have been confirmed dead following a tragic road accident in the early hours of Saturday morning in Ruiru, Kiambu County.
- 19 Apr 2025 - The changes are set to affect millions of road users across the country.
- 19 Apr 2025 - U.S. strikes on Yemen's Ras Isa fuel terminal on the Red Sea coast have killed at least 74 people in the deadliest attack since the U.S. started its bombing campaign against the Houthis last year, according to the Houthi-run health ministry.
- 19 Apr 2025 - A section of leaders allied to President William Ruto have come out to strongly condemn former Deputy President Rigathi Gachagua over his sustained criticism of the Kenya Kwanza government. Speaking during an event hosted by Kajiado Woman…
- 19 Apr 2025 - CS Joho says several companies have violated the law by using mining permits instead of licences
- 19 Apr 2025 - Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
- 19 Apr 2025 - Chief Executive Officers (CEO) have raised concerns over the government’s over-reliance on the labour export programme to create jobs for unemployed people in the country. President William Ruto’s administration greatly championed the labour export…
- 19 Apr 2025 - Police are looking for another suspect escaped unhurt.