Iran yatekeleza programu ya anga za juu ambayo inakosolewa na nchi za Magharibi
Iran ilisema Ijumaa imefanya zoezi la mafanikio la kurusha chombo cha anga za juu, kwa ajili ya programu yake mpya ambayo nchi za Magharibi zinadai inaboresha programu ya Tehran ya makombora ya balistiki.
Iran ilifanya zoezi hilo la kurusha chombo hicho kwa kutumia programu ya Simorgh, chombo cha satellite kinachobeba roketi huku mara kadhaa urushaji huo ulifeli, katika kituo cha anga za juu cha Iran cha Imam Khomeini katika kijiji kwenye jimbo la Semnan.
Hili ni eneo la programu ya anga za juu kwa malengo ya kiraia ya Iran.
Hakuna uthibitisho huru wa hapohapo kuwa urushaji huo ulikuwa na mafanikio.
Jeshi la Marekani halikutoa maoni yoyote mara moja walipoombwa kufanya hivyo.
Tangazo hilo limekuja wakati mivutano imeongezeka katika eneo kubwa la Mashariki ya Kati juu ya vita vya Israel vinavyoendelea dhidi ya Hamas katika Ukanda wa Gaza na wakati sitisho la mapigano linalolegalega huko Lebanon.
Marekani siku za nyuma ilisema urushaji wa satellite unaofanywa na Iran unakwenda kinyume na azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuitaka Tehran kutojihusisha na harakati zozote zinazohusisha makombora ya balisitiki ambayo yana uwezo wa kusafirisha silaha za nyuklia. Vikwazo vya UN kuhusiana na programu ya makombora ya balisitiki ulikwisha muda wake Oktoba 2023. -AP
#voaswahili #afrika #israel #gaza #hamas #iran #satellite #makombora #balistiki #israel #gaza #voa
19 Apr 2025
- The changes are set to affect millions of road users across the country.
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Obiri's date with history is on Monday, April 21.
19 Apr 2025
- Donald Trump's simmering discontent with the US Federal Reserve boiled over this week, with the president threatening to take the unprecedented step of ousting the head of the fiercely independent central bank.
19 Apr 2025
- Leaders in the Kenya Kwanza government have rallied the Maasai community in Kajiado to reject former Deputy President Rigathi Gachagua’s opposition politics, accusing him of peddling untruths.
19 Apr 2025
- Four people have been confirmed dead following a tragic road accident in the early hours of Saturday morning in Ruiru, Kiambu County.
19 Apr 2025
- The changes are set to affect millions of road users across the country.
19 Apr 2025
- U.S. strikes on Yemen's Ras Isa fuel terminal on the Red Sea coast have killed at least 74 people in the deadliest attack since the U.S. started its bombing campaign against the Houthis last year, according to the Houthi-run health ministry.
19 Apr 2025
- A section of leaders allied to President William Ruto have come out to strongly condemn former Deputy President Rigathi Gachagua over his sustained criticism of the Kenya Kwanza government. Speaking during an event hosted by Kajiado Woman…
19 Apr 2025
- CS Joho says several companies have violated the law by using mining permits instead of licences
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Chief Executive Officers (CEO) have raised concerns over the government’s over-reliance on the labour export programme to create jobs for unemployed people in the country. President William Ruto’s administration greatly championed the labour export…
19 Apr 2025
- Police are looking for another suspect escaped unhurt.