Watu 127, wengi wao raia wauwawa Sudan, Jumatatu na Jumanne
Siku ya Jumanne (Desemba 10), Vikosi vya Rapid Support Forces - RSF, vilishambulia kwa mizinga mizito katika eneo linalodhibitiwa na jeshi huko Omdurman, sehemu ya jimbo la Khartoum, kulingana na wakazi.
Mawakili wa dharura walisema siyo chini ya watu 20 waliuwawa, wakiwemo angalau watu 14 ambao walikuwa ndani ya basi ambao lilipigwa.
Serikali ya jimbo hilo, inayodhibitiwa na jeshi, ilisema watu 65 walikuwa wameuwawa, na majeruhi wengine kadhaa walihamishiwa katika hospitali ya karibu ya Al-Naw.
Miili iliyohifadhiwa katika mifuko iliwasili hospitali wakati waliojeruhiwa walikaguliwa na gavana wa Khartoum Ahmed Osman Hamza.
Wanaharakati wa kutetea haki walisema takriban watu 127, wengi wao raia, wameuwawa nchini Sudan Jumatatu na Jumanne kutokana na mapipa ya mabomu na mashambulizi ya makombora kutoka pande zote zinazopigana.
Miezi 20 ya vita kati ya jeshi na wanajeshi wa Rapid Support Forces RSF vinageuka na kuongezeka kwa umwagaji damu wakati juhudi za kusitisha vita zimekwama, na migogoro kwingineko imetawala mtizamo wa dunia. - Reuters
#sudan #omdurman #vita #raia #rsf #wapiganaji #jeshi #khartoum #jimbo #vifo #voa #voaswahili
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Obiri's date with history is on Monday, April 21.
19 Apr 2025
- The floods have since resulted in the displacement of more than 200 families.
19 Apr 2025
- Donald Trump's simmering discontent with the US Federal Reserve boiled over this week, with the president threatening to take the unprecedented step of ousting the head of the fiercely independent central bank.
19 Apr 2025
- Leaders in the Kenya Kwanza government have rallied the Maasai community in Kajiado to reject former Deputy President Rigathi Gachagua’s opposition politics, accusing him of peddling untruths.
19 Apr 2025
- Four people have been confirmed dead following a tragic road accident in the early hours of Saturday morning in Ruiru, Kiambu County.
19 Apr 2025
- U.S. strikes on Yemen's Ras Isa fuel terminal on the Red Sea coast have killed at least 74 people in the deadliest attack since the U.S. started its bombing campaign against the Houthis last year, according to the Houthi-run health ministry.
19 Apr 2025
- A section of leaders allied to President William Ruto have come out to strongly condemn former Deputy President Rigathi Gachagua over his sustained criticism of the Kenya Kwanza government. Speaking during an event hosted by Kajiado Woman…
19 Apr 2025
- CS Joho says several companies have violated the law by using mining permits instead of licences
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Chief Executive Officers (CEO) have raised concerns over the government’s over-reliance on the labour export programme to create jobs for unemployed people in the country. President William Ruto’s administration greatly championed the labour export…
19 Apr 2025
- Police are looking for another suspect escaped unhurt.
19 Apr 2025
- The defendants received sentences of up to 66 years.