- 196 viewsKanda ya video iliyochukuliwa na ndege isiyokuwa na rubani kutoka kusini mwa Israel imeonyesha moshi mnene ukifuka kutoka katika majengo yaliyoharibiwa huko kaskazini mwa Gaza siku ya Alhamisi (Desemba 12), wakati vita vikiendelea kati ya Israel na Hamas. Vita vilianza baada ya watu wenye silaha wa kikundi cha Hamas kuzivamia jamii za Israel mnamo Oktoba 7, 2023, na kuua kiasi cha watu 1,200 na kuwateka takriban watu 250 na kuwapeleka katika eneo la Gaza, kwa mujibu wa hesabu za Israeli. Tangu wakati huo, jeshi la Israel limeharibu maeneo ya Gaza, na kuwaua karibu Wapalestina 45,000, na kuwakosesha makazi takriban wote milioni 2.3 na kuongezeka kwa njaa na magonjwa, kulingana na mamlaka ya afya za Palestina. Waisraeli na Wapalestina wanaonyesha juhudi mpya ya kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano, ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka mzima, kusitisha mapigano huko Gaza na kuwarejesha Israel angalau mateka 100 ambao bado wanashikiliwa na Wapalestina huko Gaza. - Reuters #israel #wapalestina #shambulizi #vifo #Nuseirat #gaza #hamas #mateka #voa #voaswahili
Moshi mnene wafuka kutoka katika majengo wakati vita ikiendelea kati ya Israel na Hamas
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 19 Apr 2025 - Donald Trump's simmering discontent with the US Federal Reserve boiled over this week, with the president threatening to take the unprecedented step of ousting the head of the fiercely independent central bank.
- 19 Apr 2025 - Leaders in the Kenya Kwanza government have rallied the Maasai community in Kajiado to reject former Deputy President Rigathi Gachagua’s opposition politics, accusing him of peddling untruths.
- 19 Apr 2025 - Four people have been confirmed dead following a tragic road accident in the early hours of Saturday morning in Ruiru, Kiambu County.
- 19 Apr 2025 - The changes are set to affect millions of road users across the country.
- 19 Apr 2025 - U.S. strikes on Yemen's Ras Isa fuel terminal on the Red Sea coast have killed at least 74 people in the deadliest attack since the U.S. started its bombing campaign against the Houthis last year, according to the Houthi-run health ministry.
- 19 Apr 2025 - A section of leaders allied to President William Ruto have come out to strongly condemn former Deputy President Rigathi Gachagua over his sustained criticism of the Kenya Kwanza government. Speaking during an event hosted by Kajiado Woman…
- 19 Apr 2025 - CS Joho says several companies have violated the law by using mining permits instead of licences
- 19 Apr 2025 - Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
- 19 Apr 2025 - Chief Executive Officers (CEO) have raised concerns over the government’s over-reliance on the labour export programme to create jobs for unemployed people in the country. President William Ruto’s administration greatly championed the labour export…
- 19 Apr 2025 - Police are looking for another suspect escaped unhurt.