Meli iliyobeba mapipa milioni 1 yaokolewa baada ya kushambuliwa na Wahouthi
Meli ya mafuta ambayo ilikuwa ikiungua kwa wiki kadhaa katika Bahari ya Sham baada ya kushambuliwa na waasi wa Wahouthi wa Yemen, na kutishia kumwagika kwa mafuta imeokolewa, kampuni ya ulinzi imesema Ijumaa.
Meli hiyo Sounion ilikuwa ni maafa yanayo subiriwa kwa katika mkondo huo wa maji, huku ikiwa na mapipa milioni 1 ya mafuta ghafi ambayo ilishambuliwa na baadaye kuharibiwa kwa vilipuzi vilivyotumiwa na Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran ikiwa ni sehemu ya kampeni yao juu ya vita vya Israel na Hamas huko Ukanda wa Gaza.
Ilichukua miezi kadhaa kwa waokoaji kuweza kuivuta meli hiyo, kuzima mioto na kushusha mafuta ghafi yaliyobaki..
“Mapema Oktoba, meli hiyo ilivutwa hadi upande wa kaskazini wa mfereji wa Suez ili kupakua mizigo, ambapo hivi sasa zoezi hilo limekamilika.”
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilionya kuwa kuvuja kwa mafuta kutoka katika meli hiyo ya Sounion kungeweza kuwa “mara nne kwa ukubwa wa maafa ya Exxon Valdez” yaliyotokea mwaka 1989 nje ya pwani ya Alaska.
Hakuna maelezo yoyote ya mara moja kutoka kwa Wahouthi, ambao wamekuwa wakiushikilia mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa zaidi ya muongo mmoja na wamekuwa wakipigana na ushirika wa unaongozwa na Saudi Arabia ambao unaiunga mkono serikali iliyo uhamishoni kwa muda mrefu. - AP
#wahouthi #meli #mafuta #bahariyasham #yemen
14 Mar 2025
- The announcement comes amidst ongoing KCSE registration
14 Mar 2025
- The families of the victims have been waiting for almost two years to bury their loved ones and find closure.
14 Mar 2025
- Images of the accident showed the matatu completely damaged with broken windscreen, windows, seats and deflated tyres.
14 Mar 2025
- Bribery allegations have rocked the Machakos County Assembly after the majority's appointment committee approved Annastacia Munyaka's nomination as CEC for Water and Sanitation.
14 Mar 2025
- Police in Muhoroni Sub-county, Kisumu County are investigating the brutal murder of a 17-year-old female Form Four student whose decomposing body was found dumped in a sugarcane plantation in Migingo area.
14 Mar 2025
- U.S. President Donald Trump on Thursday threatened to slap a 200% tariff on wine, cognac and other alcohol imports from Europe, opening a new front in a global trade war that has roiled financial markets and raised recession fears.
14 Mar 2025
- Twelve people have been confirmed dead following a tragic road accident at Migaa area on the Nakuru-Eldoret Highway.
14 Mar 2025
- A British jury on Thursday convicted a United Nations judge of forcing a young woman to work as a slave after tricking her into coming to the U.K.
14 Mar 2025
- At least 13 people killed in a road accident involving a trailer and a PSV at Migaa on the Eldoret-Nakuru Highway, Police spokesperson Muchiri Nyaga confirms.
14 Mar 2025
- Kenyan politics is a paradox, opposition in government, government in opposition! In this unique setup, power isn’t just contested at the ballot box but also in boardrooms, backchannels, and public rallies. But the real intrigue? The aftermath of the…
14 Mar 2025
- The announcement comes amidst ongoing KCSE registration
14 Mar 2025
- President Vladimir Putin said on Thursday that Russia agreed with U.S. proposals for a ceasefire in Ukraine but that any ceasefire would have to deal with the root causes of the conflict and that many details needed to be sorted out.
14 Mar 2025
- Wetang'ula dismissed criticism directed at leaders working with the government, emphasizing the importance of setting aside selfish interest for national service.