Uongozi mpya wa CHADEMA waagizwa kuunda haraka Tume ya Ukweli na Upatanishi
Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe ameutaka uongozi huo mpya kuunda tume ya ukweli na upatanishi ili kurudisha umoja ndani ya chama hicho uliopotea wakati wa kampeni za uchaguzi.
Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.
Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lisu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.
Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.
#uchaguzi #chadema #mwenyekiti #makamu #tundulissu #freemanmbowe #voa #voaswahili
12 Mar 2025
- The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows
12 Mar 2025
- The vice has led to losses by farmers in the region of billions of shillings.
12 Mar 2025
- Several people were injured during the fracas that followed Ruto's development tour.
12 Mar 2025
- More than 100 families have been left homeless after a forcible eviction in Ndabibi, Naivasha, amid allegations that senior government officers are colluding with a government corporation to repossess land from the farmers.
12 Mar 2025
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has dismissed allegations of a handshake with President William Ruto at State House, citing that he would not betray Kenyans for political gain.
12 Mar 2025
- Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
12 Mar 2025
- Atandi will be deputized by Dr. Robert Pukose following a hotly contested but decisive election.
12 Mar 2025
- The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
12 Mar 2025
- The Commission for University Education has flagged 15 institutions for operating illegally in Kenya.
12 Mar 2025
- An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
12 Mar 2025
- The commission spoke on the unfolding conflict following a deadly cattle raid in Baragoi on Tuesday morning, where at least six people lost their lives and eight others sustained serious injuries.
12 Mar 2025
- Ruto made the announcement in the wake of recent protests by university students over delayed HELB disbursements.
12 Mar 2025
- The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows