Kwa nini Trump anakata msaada kwa Afrika Kusini?
Rais wa Marekani Donald Trump Jumapili alidai kuwa serikali ya Afrika Kusini “inataifisha ardhi, na kuwatendea vibaya sana watu wa tabaka fulani.”
“Marekani haitavumilia hilo, tutachukua hatua. Pia nitakata ufadhili wote siku za usoni kwa Afrika Kusini mpaka uchunguzi kamili wa hali hii ukamilike,” Trump alisema.
Hatua ya Trump imekuja mara baada ya Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa kusaini kuwa sheria mswaada wa Utaifishaji Ardhi unaofungua njia kwa serikali kutaifisha ardhi bila yakulipa fidia.
Sheria hiyo ina lengo kupambana na athari za kibaguzi za enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini ambayo ilishuhudia wazungu wachache katika taifa hilo waliokuwa na umiliki mkubwa wa ardhi.
Mamlaka nchini Afrika Kusini zilimjibu Trump Jumatatu nakueleza kuwa sheria hiyo “siyo chombo cha kutaifisha ardhi, lakini ni mchakato wa kisheria uliopitishwa kikatiba ambao unauhakikisha umma unapata ardhi katika usawa na haki kama inavyoongozwa na Katiba.”
Akizungumza wakati wa sherehe za viwanda Jumatatu, Waziri wa Madini wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe, alitoa wito wakukabiliana na vitisho vya Trump. Mantashe alisema Trump ana “yaoneya” mataifa madogo kwa sababu “wao ni taifa kubwa.”“Lazima tupinge hilo,” waziri wa madini alisema. - Reuters
#donaldtrump #marekani #afrikakusini #cyrilramaphosa #utaifishajiardhi #sheria #voa #voaswahili #rais
5 Feb 2025
- This comes just two weeks after the Cabinet approved the merging of 42 state corporations into 20 entities.
5 Feb 2025
- The latest announcement follows the ongoing registration of the 2025 KCSE cohort.
5 Feb 2025
- The truck driver witnessed first hand the escalating war between M23 rebels and DRC military groups.
5 Feb 2025
- A decision by United States president Donald Trump to cut foreign aid funding has left Kenya at risk of lacking financial ability to run crucial health programmes.
5 Feb 2025
- Dias Jumba Wabwire allegedly raped a patient undergoing dialysis at the facility on January 31, 2025.
5 Feb 2025
- This comes just two weeks after the Cabinet approved the merging of 42 state corporations into 20 entities.
5 Feb 2025
- "Engaging effectively here means opening doors for Kenya’s growth and attracting investments"
5 Feb 2025
- EACC spokesperson Eric Ngumbi confirmed that KA’galo was apprehended on Tuesday at his rural home in Oyugis.
5 Feb 2025
- Mining CS Hassan Joho said the containers were set for export to China.
5 Feb 2025
- Harambee Starlets head coach Beldine Odemba has named a 36-player provisional squad for the upcoming two-legged 2026 WAFCON qualifiers against Tunisia.
5 Feb 2025
- The latest announcement follows the ongoing registration of the 2025 KCSE cohort.
5 Feb 2025
- President William Ruto has dismissed claims that he will only serve one term, insisting the 2027 General Election will be no different from past polls.
5 Feb 2025
- The truck driver witnessed first hand the escalating war between M23 rebels and DRC military groups.