'Sera ya Elimu inahitaji kuja na ufafanuzi wa kina juu ya utekelezaji'
Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014, toleo la mwaka 2023, inalenga kutoa elimu na ujuzi kwa wanafunzi ili kuwaandaa kwa mahitaji ya sasa na ya baadaye katika soko la ajira na maisha kwa ujumla kupitia uhimizaji wa elimu ya ujuzi kuliko kutegemea taaluma pekee. Zaida Mgala aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Uwezo Tanzania linalojishughulisha na masuala ya elimu amesema licha ya sera hiyo kuja na mipango mizuri lakini bado inahitaji kuja na ufafanuzi wa kina wa namna gani mipango hiyo inaweza kutekelezeka.
Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania.
#sera #elimu #tanzania #soko #ajira #wanafunzi #teknolojia #waalimu #diploma #voa #voaswahili
6 Feb 2025
- Lucy has been missing since January 16, 2025.
6 Feb 2025
- The Kenyan government shut down several following a raft of recommendations from international aviation bodies.
6 Feb 2025
- The operators made the announcement after a closed-door meeting in Narok.
7 Feb 2025
- An Israeli military court sentenced a soldier to seven months in prison after he admitted to "severely abusing" Palestinians at a detention facility near the border with Gaza, the army said Thursday.
7 Feb 2025
- Barchok arrested as audit reveals Sh1.4 billion graft scandal in Bomet
7 Feb 2025
- Uhuru: Rwanda, DRC hold key to Goma deadlock
7 Feb 2025
- Legal battle over city parking lot concluded with Sh107m payout
7 Feb 2025
- Duale reflects on highs and lows as Cabinet Secretary
7 Feb 2025
- Ruto's taskforce on health illegal, High Court rules
7 Feb 2025
- Court proceedings at the Nakuru Law Courts were on Thursday disrupted for several hours as family and friends of missing fisherman Brian Odhiambo caused chaos to protest the dismissal of his alleged disappearance case.
7 Feb 2025
- Funeral ceremony for His Highness the Aga Khan to take place on Saturday in Lisbon, Portugal.
7 Feb 2025
- The conference is expected to boost tourism and innovation.
7 Feb 2025
- Mboya argues that Ruto appointed Oloo as a strategy and communications advisor in the Office of the President in a circular dated December 20, 2024.