Rais Trump akutana na Fogel baada ya kuachiliwa huru kutoka Russia
Rais wa Marekani Donald Trump amemkaribisha Mwalimu raia wa Marekani Marc Fogel katika white house jana jumanne usiku baada ya Fogel kuachiliwa huru kutoka Russia ambako amekuwa akizuiliwa tangu Agosti 2021 kwa tuhuma za kuingia Russia na bangi. Fogel amesema kwamba anahisi ana bahati sana duniani.
Ameshukuru rais Trump na wanadiplomasia wa Marekani Pamoja na mawakili kwa kusaidia kuweza kuwa uhuru.
Trump amesema ameshukuru kwamba Russia ilimuachilia huru Fogel. Hata hivyo hajatoa taarifa zaidi kuhusu makubaliano yaliyopelekea Fogel kuachiliwa huru.
Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi wa habari kwamba Marekani ilikuwa imekubali kumuachilia huru raia wa Russia anayezuiliwa katika gereza la Marekani kama sehemu ya makubaliano hayo na kwamba aliyeachiliwa huru atatajwa atakapowasili Russia. - VOA NEWS
#rais #marekani #marcfogel #whitehouse #russia #bangi #voa #voaswahili
12 Feb 2025
- The reports emerged after a small meeting between Youssouf and Mudavadi.
12 Feb 2025
- Local importers received a message announcing possible price hikes.
12 Feb 2025
- Nairobi has been notorious for flooding every time it rains.
13 Feb 2025
- Githunguri MP Gathoni Wamuchomba has expressed her views on former Prime Minister Raila Odinga's bid for the AUC Chairmanship, wishing him well while simultaneously urging him to retire from Kenyan politics should he come up short.
13 Feb 2025
- Embakasi East Member of Parliament Babu Owino has spoken out on the recent move by former Prime Minister Raila Odinga to publicly declare support for Nairobi Governor Johnson Sakaja.
13 Feb 2025
- Donald Trump on Tuesday pressed Jordan's King Abdullah to take in Palestinians who would be permanently displaced under the president's plan for the U.S. to take over the Gaza Strip, even as the king said his country was firmly opposed to the move.
13 Feb 2025
- InfoTrak CEO Angela Ambitho has refuted allegations of the market and social research company being financed by politicians to influence their survey ratings.
13 Feb 2025
- Burundi's President Evariste Ndayishimiye warned Rwanda against attacking it as tension rises over the deadly conflict in neighbouring Democratic Republic of Congo, in comments broadcast on Wednesday.
13 Feb 2025
- The sounds of hammering and the clattering of corrugated metal roofs resonated throughout Goma’s Bulengo camp for internally displaced persons on Tuesday as residents began taking apart the shelters they had occupied for years. They reported that M23…
13 Feb 2025
- The Ministry of Health is appealing to Kenyans to contribute to the social health insurance scheme to ensure uninterrupted medical services
13 Feb 2025
- Will new building code help industry's sustainability?
13 Feb 2025
- Magical Kenya Open: This is what fans should expect at Muthaiga
13 Feb 2025
- Valentine buzz as love blooms in city streets