- 0 views
Kilele cha utendakazi wa wakili wa muda mrefu Wafula Chebukati kiliwadia katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2022, alipotangaza William Ruto kuwa rais. Rais Ruto aliwahi kumtaja Chebukati kama shujaa wa uchaguzi huo. Hata hivyo upande wa upinzani wakati huo ukiongozwa na Raila Odinga uliamini kuwa Chebukati alikuwa kizingiti katika nafasi yao ya kuliongoza taifa. Alipoongoza tume ya IEBC, Chebukati alikabiliana na majaribio si haba, akiyumbishwa na mawimbi ya kisiasa yaliyomwachwa mpweke, makamishna wanane wakitofautiana naye alipokuwa mwenyekiti, lakini akaandikisha historia kuwa mwenyekiti wa kwanza wa IEBC kukamilisha muhula wake wa miaka sita.
Wasifu wa Wafula Chebukati
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 22 Feb 2025 - Thika town's ambitious bid to become Kenya's sixth city has gained momentum with Kiambu Governor Kimani Wamatangi submitting a city charter to the county assembly for approval.
- 22 Feb 2025 - Democratic Action Party (DAP-K) leader Eugene Wamalwa has urged President William Ruto’s administration to focus on fulfilling its unkept promises instead of turning the government into an "advertising agency."
- 22 Feb 2025 - The report comes a day after Kenya Met listed regions to experience extreme daytime temperatures and very cold nights.
- 22 Feb 2025 - Investigations into the cause of the fire that consumed a section of the Jomo Kenyatta International Airport are ongoing.
- 22 Feb 2025 - Oparanya's directives have faced a raft of opposition even as he seeks to reform the sector.
- 22 Feb 2025 - Homa Bay Town Member of Parliament (MP) Peter Kaluma has defended President William Ruto’s recent move to scrap identity card (ID) vetting for residents of the North-Eastern region. In a statement shared on his X account on Saturday, February 22, 2025,…
- 22 Feb 2025 - Democratic Action Party of Kenya (DAP-K) leader Eugene Wamalwa has intensified his 2027 election bid preparations, meeting with Luhya elders in Bungoma just days after holding talks with former Deputy President Rigathi Gachagua and Wiper party leader…
- 22 Feb 2025 - The suspect allegedly attacked the deceased after finding her in the company of her husband.
- 22 Feb 2025 - The Ministry of Education has annulled the appointment of Prof. Amukowa Anangwe as the University of Nairobi Council chairperson.
- 22 Feb 2025 - The appointment comes as the government seeks to improve operations of the Hustler Fund.