- 5,628 views
Rais William Ruto sasa ameiingiza Marekani katika mzozo wa Sudan baada ya kumpokea kwa mara ya pili ndani ya kipindi cha chini ya miaka miwili, Mohammad Hamdan Dagalo, maarufu kama Hemedti, kiongozi wa moja ya pande zinazopigana nchini Sudan. Rais Ruto, kupitia mitandao yake ya kijamii alisema kuwa katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya kigeni wa Marekani, Marco Rubio, walijadili jinsi Kenya inavyotoa jukwaa kwa wahusika wa vita vya Sudan. Hata hivyo, maelezo haya hayamo katika taarifa rasmi iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya kigeni ya Marekani kuhusu mazungumzo hayo..
Rais Ruto asema amezungumza na Marekani kuhusu mzozo wa Sudan
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- - Duniani Leo ››
- 23 Feb 2025 - In the first well-rehearsed morning ceremony in Rafah, Hamas fighters stood in an orderly fashion as they handed over hostages Tal Shoham and Avera Mengistu, who walked with apparent difficulty, to the Red Cross.
- 23 Feb 2025 - The West African country is opposing Ruto's proosal to segment issues of political stability and security.
- 23 Feb 2025 - In both countries too many decisions are made to reward political friends (Kenya) or punish perceived political adversaries (Trump).
- 23 Feb 2025 - The crackdown was a part of a multi-agency operation led by the Energy Police Unit.
- 23 Feb 2025 - Premier League giants Gor Mahia and AFC Leopards will be among the teams that will play on Sunday, February 23, 2025, during the remaining Round of 64 matches of the Football Kenya Federation Cup. Leopards will take on Nyanza Regional League side Dero…
- 23 Feb 2025 - Musk has been leading an outside effort to aggressively curtail government spending through funding cuts and firings.
- 23 Feb 2025 - The Vatican said the Pope required a "high flow" of oxygen and his prognosis "remains guarded".
- 23 Feb 2025 - Deliver or we meet on the streets, ODM tells Ruto
- 23 Feb 2025 - Troubled Uchumi's creditors to know fate of their billions
- 23 Feb 2025 - Students left in limbo as ruling stalls placement in universities