- 749 viewsRais wa Marekani Donald Trump ameungana na taifa katika kumbukumbu ya Mwezi wa Historia ya Watu Weusi kwa kuandaa hafla White House akiwa na mcheza golf maarufu Tiger Woods. Wakati wa hafla hiyo Alhamisi, Trump alitoa hotuba ambapo alipongeza “vizazi vya watu Weusi, mabingwa, wapiganaji na wazalendo, ambao wamekuwa na jukumu kubwa katika kuinyanyua historia ya taifa hili na kutangaza kuweka bustani yenye sanamu za watu weusi kama vile Harriet Tubman, Rosa Parks, Aretha Franklin, Coretta Scott King. “Tutatengeneza baadhi ya kazi nzuri sana za sanaa katika mfano wa sanamu ya wanaume kama Frederick Douglass, Booker T Washington, Jackie Robinson … Martin Luther King Jr., Muhammad Ali … na marehemu Kobe Bryant,” Trump alisema. _ AP #trump #blackhistorymonth #voa
Rais Trump ajiandaa kuwaenzi kizazi cha watu weusi mabingwa
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 23 Feb 2025 - Congolese President Felix Tshisekedi will launch a unity government, his spokesperson said on Saturday, as he faces domestic pressure over his handling of an offensive by Rwanda-backed M23 rebels in eastern provinces.
- 23 Feb 2025 - South African President Cyril Ramaphosa addressed the discord head on in his opening speech, saying the world was under threat from rising intolerance and wars.
- 23 Feb 2025 - Gang leader Sanjeewa Kumara had been escorted to court to face proceedings when he was shot.
- 23 Feb 2025 - Wandayi says Ruto's part in Raila's AUC bid showed he was a “true friend”.
- 23 Feb 2025 - In the first well-rehearsed morning ceremony in Rafah, Hamas fighters stood in an orderly fashion as they handed over hostages Tal Shoham and Avera Mengistu, who walked with apparent difficulty, to the Red Cross.
- 23 Feb 2025 - Kenya presented the candidate with the best credentials but was let down by its own virtually non-existent foreign policy
- 23 Feb 2025 - On election day, Djibouti candidate Youssouf secured 33 votes, triumphing over Raila.
- 23 Feb 2025 - Johannesburg, South Africa Feb 23 – India’s External Affairs Minister Dr. S. Jaishankar met with Russian Foreign Minister Sergey Lavrov on Thursday on the sidelines of the G20 Foreign Ministers’ Meeting (FMM) in Johannesburg. The two leaders reviewed…
- 23 Feb 2025 - Sifuna has recently appeared to oppose the recently found working partnership between his party and the government.
- 23 Feb 2025 - Friedrich Merz, the 69-year-old conservative leader, is in pole-position to become Germany's next chancellor, in a vote closely watched in Europe and the US.