- 6,692 views
Kikosi cha pamoja kinachojumuisha maafisa kutoka idara ya polisi kimepiga hatua kubwa katika kuwadhibiti waasi wa Oromo Liberation Army (OLA), ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiwahangaisha wakazi wa Marsabit na Isiolo. Kikosi hicho, kilianza kazi Januari mwaka huu chini ya operesheni ondoa jangili. Tangu kuzinduliwa kwa operesheni hiyo, maficho ya waasi wa OLA katika kaunti hizo mbili yamevurugwa, hatua ambayo imelemaza pakubwa shughuli za kundi hilo. Aidha, wanachama kadhaa, wakiwemo makamanda wa ngazi za juu, wamekamatwa kwenye msako unaoendelea. Ben Kirui amerejea kutoka marsabit na isiolo na kutuandalia taarifa ifuatayo.
Maafisa wa polisi wafanikiwa kuwadhibiti waasi wa Oromo Liberation Army mwa Kenya
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- - Duniani Leo ››
- 23 Feb 2025 - South African President Cyril Ramaphosa addressed the discord head on in his opening speech, saying the world was under threat from rising intolerance and wars.
- 23 Feb 2025 - In the first well-rehearsed morning ceremony in Rafah, Hamas fighters stood in an orderly fashion as they handed over hostages Tal Shoham and Avera Mengistu, who walked with apparent difficulty, to the Red Cross.
- 23 Feb 2025 - Johannesburg, South Africa Feb 23 – India’s External Affairs Minister Dr. S. Jaishankar met with Russian Foreign Minister Sergey Lavrov on Thursday on the sidelines of the G20 Foreign Ministers’ Meeting (FMM) in Johannesburg. The two leaders reviewed…
- 23 Feb 2025 - Sifuna has recently appeared to oppose the recently found working partnership between his party and the government.
- 23 Feb 2025 - Friedrich Merz, the 69-year-old conservative leader, is in pole-position to become Germany's next chancellor, in a vote closely watched in Europe and the US.
- 23 Feb 2025 - Raila is likely to draw interest from major players, who include Ruto, Gachagua and other Azimio leaders.
- 23 Feb 2025 - The move comes in response to growing concerns over financial mismanagement within the sector, which has eroded public trust. Kilemi revealed that as part of the government’s commitment to strengthening oversight, the Cooperative Bill 2024 has been…
- 23 Feb 2025 - The West African country is opposing Ruto's proosal to segment issues of political stability and security.
- 23 Feb 2025 - Deliver or we meet on the streets, ODM tells Ruto
- 23 Feb 2025 - Students left in limbo as ruling stalls placement in universities