- 51 viewsMkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Amimza Cafe iliyoko Mkoa wa Kagera, Amiri Hamza, amesema kuwa bila maboresho ya sera, taifa litaendelea kushindwa kuongeza thamani ya mazao ya kilimo. Amesema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania. Hamza amehimiza serikali na wadau kushirikiana kurekebisha sheria ili kuwapa vijana fursa zaidi kwenye sekta ya kahawa. “kufikia 2030 vijana wataweza kunufaika na zao la kahawa kwa ajira na mengineyo Kama tukibadilisha kanuni na sheria za mfumo wa fedha nchini, tusipo badili tutaendelea kuangaika na kulalamika kuhusu kuongeza thamani ya mazao yetu ya kilimo,” amesema Hamza Ili kuhakikisha sekta ya kahawa inachangia ipasavyo katika uchumi wa Afrika viongozi wa nchi 25 wameazimia kuhamasisha matumizi ya kahawa ndani ya bara na kuongeza ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi. Pia wamependekeza kuanzishwa kwa vituo vya umahiri na utafiti wa kahawa. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #kahawa #amimzacafe #amirihamza #sera #serikali #voa #voaswahili #ushindani
Mdau aishauri serikali namna ya kuongeza thamani mazao ya kilimo
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 27 Feb 2025 - At least 152 people have died in Turkey since the start of the year after drinking bootleg alcohol, state news agency Anadolu reported Wednesday.
- 27 Feb 2025 - People’s Liberation Party (PLP) Party Leader Martha Karua has opined that Raila Odinga’s association with President William Ruto is what led to his defeat at the African Union Chairmanship election.
- 27 Feb 2025 - People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua has revealed that she is working with former Deputy President Rigathi Gachagua to unseat President William Ruto in the 2027 General Election.
- 27 Feb 2025 - NARC Kenya party leader Martha Karua has raised concerns over the presence of Sudan’s Rapid Support Forces (RSF) in Nairobi, sensationally questioning whether President William Ruto intends to use them to maintain power.
- 27 Feb 2025 - President Vladimir Putin hosted Guinea-Bissau President Umaro Sissoco Embalo for talks in the Kremlin on Wednesday, the latest sign of a drive by Moscow to build up economic and security relationships with countries in west and central Africa.
- 27 Feb 2025 - We have introduced new colours—while maintaining our identity as a flower party. Previously symbolized by a green rose, we now embrace the purple rose, which represents love, friendship, and peace,” Karua explained.
- 27 Feb 2025 - After serving as Athletics Kenya (AK) secretary for Nyandarua uninterrupted for 37 years, Lawrence Miano is finally ready to step aside and pave the way for new leadership when elections are held—a rare and unprecedented move in Kenyan athletics…
- 27 Feb 2025 - Sakaja's stinking mess as City Hall and Kenya Power tussle over debts
- 27 Feb 2025 - Officers left in the dark as plan to change police uniform stalls
- 27 Feb 2025 - Senators take on Barasa over SHA failures, demand value for money