Serikali yashauriwa kuwawezesha vijana kumiliki ardhi ili waweze kujiajiri
Baadhi ya vijana wanaojihusisha na kilimo cha Kahawa nchini Tanzania wanasema bado wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ardhi ya kulima jambo linalowakwamisha kushiriki kikamilifu katika sekta ya kahawa
wameyasema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wan chi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kama anavyosema Peter Mzeya kijana Mkulima.
“Tungependa vijana wengi waingie kwenye uzalishaji wa kahawa, ingawa kuna changamoto kadhaa ambazo zinaweza kuwa juu ya uwezo wao. Serikali inapaswa kuziangalia, maana kabla hujaingia katika uzalishaji wa kahawa ni lazima umiliki ardhi. Hivyo, serikali iangalie ni jinsi gani vijana wanaweza kumiliki ardhi” amesema Mzeya
Mbali na changamoto ya ardhi vijana pia wanakabiliwa na vikwazo vya sera kanuni na mfumo wa fedha hali inayozuia ushiriki wao kikamilifu katika kuongeza thamani ya zao la kahawa.
Mkulima Mzeya alishiriki katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania.
Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania.
#mkulima #kijana #mjasiriamali #kilimo #kahawa #tanzania #voa #voaswahili #umilikiwaardhi #ajira #petermzeya
26 Feb 2025
- TSC announced a recruitment drive in December last year with plans to hire more teachers in the pipeline.
26 Feb 2025
- This comes amid several changes seeking to reduce wage bill within the public sector.
26 Feb 2025
- The government acknowledged that the transition from NHIF to SHA brought about confusion among public servants.
27 Feb 2025
- At least 152 people have died in Turkey since the start of the year after drinking bootleg alcohol, state news agency Anadolu reported Wednesday.
27 Feb 2025
- People’s Liberation Party (PLP) Party Leader Martha Karua has opined that Raila Odinga’s association with President William Ruto is what led to his defeat at the African Union Chairmanship election.
27 Feb 2025
- People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua has revealed that she is working with former Deputy President Rigathi Gachagua to unseat President William Ruto in the 2027 General Election.
27 Feb 2025
- NARC Kenya party leader Martha Karua has raised concerns over the presence of Sudan’s Rapid Support Forces (RSF) in Nairobi, sensationally questioning whether President William Ruto intends to use them to maintain power.
27 Feb 2025
- President Vladimir Putin hosted Guinea-Bissau President Umaro Sissoco Embalo for talks in the Kremlin on Wednesday, the latest sign of a drive by Moscow to build up economic and security relationships with countries in west and central Africa.
27 Feb 2025
- We have introduced new colours—while maintaining our identity as a flower party. Previously symbolized by a green rose, we now embrace the purple rose, which represents love, friendship, and peace,” Karua explained.
27 Feb 2025
- After serving as Athletics Kenya (AK) secretary for Nyandarua uninterrupted for 37 years, Lawrence Miano is finally ready to step aside and pave the way for new leadership when elections are held—a rare and unprecedented move in Kenyan athletics…
27 Feb 2025
- Officers left in the dark as plan to change police uniform stalls
27 Feb 2025
- 99,338 students with C plus may not go to university
27 Feb 2025
- DPP faces ouster bid over withdrawal of death threat case