- 3 views
Wadau katika sekta ya uchumi wanatoa wito wa kutekeleza mikakati ya kuwasaidia wanawake wajasiriamali. Akizungumza katika kongamano la kila mwaka la kiuchumi la kina mama humu nchini, mwenyekiti wa mpango wa kutetea na kuhamasisha jamii, Daisy Amdany alisisitiza kuwa licha ya wanawake kumiliki asilimia-43.1 ya biashara ndogo na za kadri, wengi wao wanakabiliwa na changamoto si haba. zikiwemo uhaba wa fedha, ukosefu wa maarifa ya kifedha na tatizo la kutolipwa kikamilifu na hivyo kuathiri ustawi wao wa kiuchumi. Wataalamu katika kongamano hilo walisisitiza haja ya kuimarisha upatikanaji wa fedha, mfumo dhabiti wa kisheria na usawa wa kijinsia pamoja na kuboreshwa kwa elimu kuhusu ujasiriamali ili kuwezesha wanawake kutambua kutumia kamili wao wa kiuchumi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wito watolewa kuwe na mikakati ya kuwezesha wanawake
- 28 Feb 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has urged calm as the search for missing Kenyan fishermen continues following last Saturday’s attack in Todonyang, near the Kenya-Ethiopia border.
- 28 Feb 2025 - Embakasi East Member of Parliament Babu Owino has hit out at the Nairobi County government for what he terms as underpaying the thousands of youth employed under the ‘Green Army’ programme tasked with menial jobs across the city.
- 28 Feb 2025 - Non-state health sector players are calling on the government to live up to its obligations and fully fund primary healthcare and the emergency and critical illness funds under the Social Health Authority (SHA), to make the program sustainable.
- 28 Feb 2025 - Cracks widen in ODM as groups organise parallel anniversary fete
- 28 Feb 2025 - Top scorer Ombima honoured in Gogo FC awards gala
- 28 Feb 2025 - Sakaja trashes the city paving the way for its rebuilding, bottom up
- 28 Feb 2025 - Ruto, Raila coalition deal 'as good as done'
- 28 Feb 2025 - Kinuthia Wamwangi: Champion of elderly people welfare, rights
- 28 Feb 2025 - Hospitals uphold SHA suspension despite State's pledge to clear debt
- 28 Feb 2025 - Treasury issues new Sh194b Eurobond to repay old debt