Watu 11 wafariki Bukavu kwa mkutano wa M23
Watu kumi na mmoja wamethibitishwa kufariki baada ya milipuko miwili kutokea katika mji wa Bukavu, mashariki mwa DRC leo siku ya Alhamisi, punde tu baada ya mkutano wa M23 uliohudhuriwa na mmoja wa viongozi wa kundi hilo la waasi Corneille Nangaa katika uwanja wa Independent Square. Mlipuko wa kwanza ulisababisha hali ya sintofahamu na kuwalazimisha watu kutawanyika kabla ya mlipuko wa pili. Wakazi waliwasaidia waliojeruhiwa. Bukavu ni moja wapo ya miji mikuu katika eneo hilo iliyotekwa katika majuma ya hivi karibuni na wapiganani wa M23 ambao umoja wa mataifa umesema wanaungwa mkono na Rwanda. Nangaa alikuwa ameondoka katika uwanja huo ambako mkutano huo ulifanyika. M23 walidhibiti mji wa Bukavu baada ya kuteka Goma ambao ni mji mkuu wa Kivu Kaskazini.
27 Feb 2025
- This follows a fight between Kenya Power and Nairobi County that saw garbage dumped at Stima Plaza.
27 Feb 2025
- Homa Bay County will host the Celebrations for the first time.
27 Feb 2025
- Raila made the sentiments during a consultative forum in Migori County.
28 Feb 2025
- A halt in US funds to South Africa's HIV/AIDS programmes could lead to more than 500,000 deaths over 10 years, the head of the Desmond Tutu HIV Foundation said Thursday.
28 Feb 2025
- The World Health Organization said Thursday its experts were investigating a new, unidentified cluster of illness in the DR Congo after two previous mystery outbreaks earlier this year.
28 Feb 2025
- Muhoozi tweets from the hip, has everyone on edge
28 Feb 2025
- PLP, a brand new party unveiled, with not so new faces at the helm, to liberate Kenya
28 Feb 2025
- Court directs seven banks to pay firm over Sh1b owed by Moi University
28 Feb 2025
- House team probes Sh6 billion NOC-Rubis deal
28 Feb 2025
- Ruto will be disappointed if he is banking on Raila for support
28 Feb 2025
- Senators, governors fault Kenya Power over disconnections
28 Feb 2025
- Sakaja trashes the city paving the way for its rebuilding, bottom up
28 Feb 2025
- Ruto, Raila coalition deal 'as good as done'