- 293 views
Wafugaji wa samaki katika vidimbwi vya Bukani vilivyoko katika eneo bunge la Funyula kaunti ya Busia wanakadiria hasara baada ya kushindwa kuendeleza kilimo hicho kwa zaidi ya miaka mitatu sasa kwa kukosa fedha.Mradi wa zaidi ya shilingi milioni 60 wa Bukani wenye vidimbwi 100 ulianzishwa katika mashamba ya wakulima hao kwa ushirikiano wa serikali ya kaunti ya Busia na ufadhili wa Benki ya Dunia.
Wafugaji wa samaki Busia wakadiria hasara baada ya kushindwa kuendeleza kilimo hicho
- - Nasaha za dini ››
- - Nasaha za dini ››
- 28 Feb 2025 - Central Organization of Trade Unions (COTU) Secretary-General Francis Atwoli has criticized political parties using the color purple, claiming it was patented by COTU in 2008.
- 28 Feb 2025 - Kikuyu Member of Parliament Kimani Ichung'wa endured a gruelling night as he went head-to-head with Al Jazeera journalist Mehdi Hassan, in a no-holds-barred political sitdown.
- 28 Feb 2025 - The County Government of Kisumu has signed a Memorandum of Understanding (MoU) with Hand in Hand Eastern Africa to enhance waste management and strengthen its value chain.
- 28 Feb 2025 - The project is expected to be completed in two years.
- 28 Feb 2025 - President William Ruto has called out the newly-formed People's Liberation Party (PLP) led by Martha Karua, for making his name the main focus of the party's discussions.
- 28 Feb 2025 - Government appears to be struggling to find a suitable investor.
- 28 Feb 2025 - Ministry of Energy now seeking consultant to guide development of the plan.
- 28 Feb 2025 - High Court suspends case to jail Wetang'ula for contempt
- 28 Feb 2025 - UK minister resigns over overseas aid cut
- 28 Feb 2025 - At least 11 dead in DRC after blasts at M23 rally, rebels say