- 95 views
Kaunti ya Nairobi kupitia kikundi cha Green Army leo kimefanya zoezi la usafi nje ya Stima Plaza na maeneo mengine kama ilivyoagizwa na wizara ya afya. tarehe 24, mwezi februari, wafanyikazi wa kaunti ya Nairobi walitupa taka katika eneo la Stima Plaza baada ya kenya power kukata umeme kwenye jengo la city hall kutokana na deni la shilingi bilioni 3 ambalo halijalipwa. hata hivyo, serikali ya kaunti ya Nairobi na wizara ya kawi sasa wamekubali kushirikiana kutatua tatizo hilo.
Kaunti ya Nairobi kupitia kikundi cha Green Army chafanya zoezi la usafi nje ya Stima Plaza
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 23 Apr 2025 - Africans are hoping one of their own could become the first Black pope in modern history and build on Francis's legacy of championing the developing world, though the chances of that happening appear slim.
- 23 Apr 2025 - To the rival politicians, the scandal is supposedly manna from heaven, as the legislator had incredible ratings.
- 23 Apr 2025 - PAC noted that the most significant assets remain without legal ownership documents.
- 23 Apr 2025 - The CS told Parliament that the funds are channelled based on the number of patients attended to.
- 23 Apr 2025 - The proposed law had sparked criticism from civil society groups.
- 23 Apr 2025 - Thirty-one counties are losing revenue in the proposed formula by the CRA.
- 23 Apr 2025 - CS Tuya hailed the course as a major milestone for Nairobi.
- 23 Apr 2025 - The marriage veterans paint the union in soft, rosy hues but studiously avoid mentioning the downside if the marriage comes crumbling down.
- 23 Apr 2025 - A Hamas delegation left for Cairo to discuss "new ideas" aimed at securing a ceasefire in Gaza, an official from the group said, as rescuers reported 26 dead in Israeli air strikes on Tuesday.
- 23 Apr 2025 - Inclusive education is a progressive approach that ensures every child, regardless of their physical, intellectual, emotional, or social condition, can access quality education within mainstream systems. It emphasises the right of children with…