- 12 views
Mwanamke mmoja kutoka jamii ndogo aliyepanda ngazi kuwa afisa tawala kaunti ya kilifi baada ya ndoa yake kutumbukia nyongo anasimulia jinsi alivyostahimili changamoto zilizomwandama kuwa naibu chifu wa kwanza mwanamke wa kata ndogo ya Fundisa. Emily Esendi aliyeacha shule akiwa mdogo kutokana na uchochole na kisha kuozwa amegeuza maisha yake na kuwa mwenye manufaa makubwa kwa jamii. Emily pia ni mwana-harakati dhidi ya dhuluma za kijinsia na huendeleza kampeni za uhamasisho miongoni mwa mama wachanga. Emily anahadithia juhudi zake huku ulimwengu ukijiandaa kuadhimisha siku ya wanawqake duniani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanamke shadidi
- 6 Mar 2025 - The East African Community (EAC) launched its ‘Visit East Africa: Feel the Vibe’ campaign at the 2025 ITB Berlin Expo, the world’s largest travel trade fair.
- 6 Mar 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba has assured students set to join institutions of higher learning in September this year that a new funding model will be in place by then.
- 6 Mar 2025 - President William Ruto hosted Reverend Edward Mwai, the founder of the Jesus Winner Ministry Church, at State House, Nairobi, on Thursday, with the two leaders discussing ongoing collaboration between the State and the church.
- 6 Mar 2025 - He had been sentenced to 10 years in prison for killing his spouse.
- 6 Mar 2025 - The new technology is part of the government's broader plan to improve road safety.
- 6 Mar 2025 - The money was lost through fraudulent claims, including non-existent surgeries and other procedures.
- 6 Mar 2025 - The vehicles are believed to be worth billions of shillings.
- 6 Mar 2025 - Necessary documentation is being finalised by the relevant authorities.
- 6 Mar 2025 - Former officials of the institution were accused of enabling the misappropriation of the funds.
- 6 Mar 2025 - Many children globally, including in Kenya, rely on UNICEF for their wellbeing and are at risk after the announcement.