- 53 views
Vituo vya afya vya kidini nchini vimeipa serikali siku 14 kulipa madeni ya nhif na kukamilisha malipo ya huduma zinzotolewa chini ya mamlaka ya afya ya jamii,SHA. Iwapo serikali haitatimiza hilo,huduma chini ya sha zitasitishwa katika vituo hivyo. Taasisi hizo zinasema zimelemewa kifedha kutokana na madeni ambayo bado hayajalipwa.wakati huo huo, chama cha hospitali za kibinafsi za miji na vijijini (RUPHA) kimeondoa marufuku ya huduma za sha katika hospitali zake. Hatua hii inafuatia ahadi ya Rais William Ruto ya kulipa madeni yote ya nhif chini ya shilingi milioni kumi .
Vituo vya afya vya kidini vyaitaka serikali kulipa madeni ya NHIF ndani ya siku 14
- 22 Apr 2025 - Titus Wekesa Sifuna, has been arraigned before the Milimani Law Courts under a miscellaneous application.
- 22 Apr 2025 - Kariobangi North Member of County Assembly Joel Munuve has passed away.
- 22 Apr 2025 - Harvard University sued on Monday to block U.S. President Donald Trump from freezing billions of dollars in federal funding after the elite research institution rejected a list of White House demands that it said would undermine its independence.
- 22 Apr 2025 - The National Assembly Health Committee has set up an inquiry committee to probe the kidney transplant scandal at Mediheal Hospital in Eldoret.
- 22 Apr 2025 - Security officers have rescued 57 indisposed persons who have been seeking healing at the controversial Melkio Joseph Mission Messiah church in Rongo, Siaya County and halted prayer activities at the church.
- 22 Apr 2025 - Dr. Jane Kere Imbunya has officially assumed office as the Principal Secretary in the State Department for Public Service and Human Capital Development, succeeding Amos Gathecha.
- 22 Apr 2025 - Ruto described Munuve as a progressive leader with innovative ideas
- 22 Apr 2025 - Unit will ensure stricter enforcement of labour migration regulations
- 22 Apr 2025 - The movement raises public awareness on Trumpian policies, both domestic and foreign.
- 22 Apr 2025 - Pope Francis' funeral will be held on Saturday in St. Peter's Square, Roman Catholic cardinals decided on Tuesday, setting the stage for a solemn ceremony that will draw leaders from around the world.