- 77 views
Angalau asilimia 45 ya wanawake wenye umri wa kati ya miaka 15 hadi 49 wamekumbwa na ukatili wa kijinsia. Wizara ya afya sasa inakadiria kuwa ni asilimia 14 pekee ya visa hivyo vinavyoripotiwa. Huku dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake, serikali imeshinikizwa kuimarisha sera na mifumo ya msaada kwa waathiriwa. katika juhudi za kukabiliana na janga hili, kituo maalum cha kuwahifadhi waathiriwa wa ukatili wa kijinsia kimezinduliwa jijini Nairobi. kituo hicho kitatoa huduma za afya, na mafunzo ya ujuzi zaidi dhidi ya ukatili wa kijinsia na msaada wa kisaikolojia
Asilimia 45 ya wanawake wenye umri wa kati ya miaka 15 hadi 49 wakumbwa na ukatili wa kijinsia
- - Duniani Leo ››
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - MPs failed women by approving Cheptumo's nomination as CS
- 22 Apr 2025 - Tanzania firm presses on with Kilifi gas plant amid safety fears
- 22 Apr 2025 - People's Pope signs off, leaving behind a church changed forever
- 22 Apr 2025 - From social justice to tackling abuse: 12 years of Pope Francis
- 22 Apr 2025 - Role of Commissioner for Cooperatives questioned in Kuscco Sh13b saga
- 22 Apr 2025 - The inconvenient truth about devolution, the environment
- 22 Apr 2025 - Mwangangi named SHA boss as Ingasira takes over in Finance