- 2,231 views
Ni mwaka wa pili sasa tangu mauaji mabaya zaidi ya itikadi za kidini nchini kushuhudiwa katika msitu wa Shakahola, na kusababisha vifo vya takriban watu mia tano. Familia ambazo zimekuwa zikisubiri kuwazika jamaa zao zikisalia bila mwelekeo, huku maiti zikisalia kwenye hifadhi ya maiti ya Malindi. Kwa familia hizi, serikali haijaonekana kukamilisha zoezi la kuwatambua jamaa zao hadi sasa. Francis Mtalaki amezungumza na familia ambazo ziliwapoteza jamaa kuzungumzia masaibu, mashaka na hata shaka ya mwisho wa zoezi hili kwenye makala haya ya SHAKA YA SHAKAHOLA
Shaka la Shakahola
- - Duniani Leo ››
- 10 Mar 2025 - Balanced calmly on top of what was once a refrigerator door, fisherman Khaled Habib uses a makeshift paddle to propel himself through the waters of Gaza City's fishing port.
- 10 Mar 2025 - The United States is open to exploring critical minerals partnerships with Congo after a Congolese senator contacted U.S. officials to pitch a minerals-for-security deal.
- 10 Mar 2025 - Former central banker Mark Carney won the race to become leader of Canada's ruling Liberal Party and will succeed Justin Trudeau as prime minister.
- 10 Mar 2025 - The fire started some moments after 9 pm and had threatened to quickly spread to adjacent businesses
- 10 Mar 2025 - While in Kenya as a refugee, Cherinet used to stay under the bridge next to Lions Place, Nairobi, before the expressway was built.
- 10 Mar 2025 - This follows Raila's heckling at the Gusii Stadium on Sunday afternoon.
- 10 Mar 2025 - The KPC Foundation has invested more than Sh200 million to improve learning infrastructure.
- 10 Mar 2025 - Witnesses said a group of police officers was having food and drinks when the altercation broke out, leading to the shooting.
- 10 Mar 2025 - Water and Sanitation department operates with nearly 70 percent male workforce despite gender balance law.
- 10 Mar 2025 - Here is what you need to know to keep up to speed with today’s happenings. Heavy rainfall expected to intensify The Kenya Meteorological Department has warned of intensified rainfall exceeding 30mm today, Monday, March 10, 2025, as the wet weather…