- 101 views
Rais William Ruto amesema Kenya imepiga hatua muhimu za maendeleo katika kipindi cha nusu ya kwanza ya utawala wa Kenya Kwanza. Rais Ruto alisema kwamba serikali imefanikiwa kuanzisha miradi yake, ikanakili ukuaji katika sekta ya kilimo na kuimarisha uchumi, akiahidi mageuzi zaidi katika siku za usoni. Akizungumza alipoungana na waumini wa kanisa la AIC Fellowship Annex, Eldoret, Uasin Gishu kwa ajili ya ibada ya Jumapili, Rais Ruto aliwahakikishia wakenya kwamba taifa hili liko kwenye mwelekeo unaofaa. Rais Ruto pia alielezea ufanisi wa maeneo ya kiuchumi, akikariri kwamba ukuaji wa uchumi umewezesha kutengwa kwa raslimali zaidi kwa ajili ya ujenzi wa miundomsingi. Aidha Rais Ruto alisisitiza kwamba maendeleo na umoja vinaambatana, kwani taifa lenye umoja huafikia ufanisi kwa urahisi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ruto: Kuna ufanisi katika nusu ya kwanza ya hatamu yake
- - Duniani Leo ››
- 10 Mar 2025 - While in Kenya as a refugee, Cherinet used to stay under the bridge next to Lions Place, Nairobi, before the expressway was built.
- 10 Mar 2025 - This follows Raila's heckling at the Gusii Stadium on Sunday afternoon.
- 10 Mar 2025 - The KPC Foundation has invested more than Sh200 million to improve learning infrastructure.
- 10 Mar 2025 - Witnesses said a group of police officers was having food and drinks when the altercation broke out, leading to the shooting.
- 10 Mar 2025 - Water and Sanitation department operates with nearly 70 percent male workforce despite gender balance law.
- 10 Mar 2025 - Here is what you need to know to keep up to speed with today’s happenings. Heavy rainfall expected to intensify The Kenya Meteorological Department has warned of intensified rainfall exceeding 30mm today, Monday, March 10, 2025, as the wet weather…
- 10 Mar 2025 - Mouth to mind: Is your oral health putting you at Alzheimer's risk?
- 10 Mar 2025 - Breaking new ground in cancer treatment with UK's first vaccine
- 10 Mar 2025 - Kenya Power, City Hall tiff reveals Sh26.6 billion in power bills debts
- 10 Mar 2025 - Uncertainty hits farms as climate shifts, weather patterns evolve