- 1 views
Zaidi ya watu 200 walishiriki katika makala ya kwanza ya matembezi ya uhisani ALMAARUFU March in March katika mtaa wa Karen kaunti ya Nairobi. Washiriki hao wengi wao wanawake walitembea umbali wa kilomota-5.5 na kilomita-4.7 kutoka barabara ya Kombe hadi bustani ya Karen Waterfront. Mtembezi hayo yaliandaliwa na wakfu wa Intrepid kwa lengo la kukusanya fedha za kufadhili mipango ya kukabiliana na uwindaji haramu wa wanyamapori katika hifadhi ya Mara, kuwawezesha wanawake wa jamii ya Wa-masaai kubuni nafasi za ajira, kutoa baiskeli kwa watoto waoenda shuleni katika maeneo ya mashambani na wahudumu wa afya humu Kenya. Matembezi hayo yataandaliwa kila mwaka huku kukiwa na uwezekano kushirikisha riadha ili kuwavutia washiriki zaidi ambao wangependa kushiriki katika mbio.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Matembezi ya uhisani : Miradi mbalimbali ya kijamii kufadhiliwa
- - Farm Kenya ››
- 10 Mar 2025 - The government has denied reports by former Deputy President Rigathi Gachagua that Bomas of Kenya, the State-owned tourist village in Nairobi’s Lang’ata area, has been sold to a Turkish national.
- 10 Mar 2025 - A few days after being laid to rest, Kenya still remembers the prodigious tenure Wafula Chebukati maintained at the helm of the national electoral body, the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
- 10 Mar 2025 - Pope Francis, in hospital with pneumonia, is showing slight signs of improvement but it is too early to discuss his return home, a Vatican source said Monday.
- 10 Mar 2025 - Members of the Dupoto settlement scheme are calling for investigations into several individuals over the alleged misappropriation of Ksh.2.7 billion meant for their compensation following the acquisition of their land in Embakasi South.
- 10 Mar 2025 - A legal battle is brewing between two brothers over a disputed 4,720-acre piece of land within the Maasai Mara Game Reserve.
- 10 Mar 2025 - The project will create 40,000 jobs up from the current 22,000 working under the Climate Works Mtaani Initiative, besides the construction of a 60km sewer line and 50,000 affordable houses in the reclaimed areas.
- 10 Mar 2025 - ODM lawmakers were expected to accompany Dr Ruto to launch projects and popularise his cooperation agreement with Mr Odinga in Nairobi.
- 10 Mar 2025 - ODM lawmakers were expected to accompany Dr Ruto to launch projects and popularise his cooperation agreement with Mr Odinga in Nairobi.
- 10 Mar 2025 - “Gachagua must have forgotten that Cabinet meetings are now digitised."
- 10 Mar 2025 - The government has responded to reports that Bomas of Kenya has been sold to a Turkish national. In a statement on Monday, March 10, 2025, Principal Secretary for Arts, Culture and Heritage Ummi Bashir refuted the reports, saying the facility is still…