- 1 views
Wadau katika sekta ya afya ya uzazi wametoa wito wa juhudi za pamoja kutoka kwa sekta za kibinafsi na umma ili kuimarisha upatikanaji wa huduma za upangaji uzazi kwa wasichana na wanawake kote nchini. Wakiongozwa na aifsa mkuu wa shirika la afya la Insupply Yasmin Chandani, wadau hao walizungumzia mabadiliko katiam mfumo wa ufadhili kuwa sababu kuu zinazozuia upatikanaji wa huduma bora za afya ya uzazi. Wadau hao waliyoyasema hayo wakati wa warsha kuhusu upangaji uzazi iliyoandaliwa katika kaunti ya Nairobi walisema kuwa kujumuishwa kwa wadau wa kibinafsi wakiwemo wataalamu wa dawa kutaimarisha uhamasisho.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Juhudi za pamoja zahitajika kufanikisha hudumaza upangaji uzazi
- - LEVEL UP FRIDAYS ››
- - Duniani Leo ››
- 14 Mar 2025 - Bribery allegations have rocked the Machakos County Assembly after the majority's appointment committee approved Annastacia Munyaka's nomination as CEC for Water and Sanitation.
- 14 Mar 2025 - Police in Muhoroni Sub-county, Kisumu County are investigating the brutal murder of a 17-year-old female Form Four student whose decomposing body was found dumped in a sugarcane plantation in Migingo area.
- 14 Mar 2025 - U.S. President Donald Trump on Thursday threatened to slap a 200% tariff on wine, cognac and other alcohol imports from Europe, opening a new front in a global trade war that has roiled financial markets and raised recession fears.
- 14 Mar 2025 - This comes after Kenya hosted the RSF and its allies who signed a pact to form a parallel government.
- 14 Mar 2025 - Twelve people have been confirmed dead following a tragic road accident at Migaa area on the Nakuru-Eldoret Highway.
- 14 Mar 2025 - Among the recommendations put forward was the establishment of legal and policy reforms to address the issue.
- 14 Mar 2025 - A British jury on Thursday convicted a United Nations judge of forcing a young woman to work as a slave after tricking her into coming to the U.K.
- 14 Mar 2025 - This is a major change compared to the previous 8-4-4 curriculum.
- 14 Mar 2025 - Ridiculous Ruto
- 14 Mar 2025 - I've no regrets if I'm sacked, says CS Muturi