- 124 views
Chama cha matabibu nchini kimefutilia mbali mgomo wake kufuatia mashauriano na wizara ya afya. Matabibu hao waligoma tarehe 18 mwezi Februari mwaka huu kushinikiza kutekelezwa kwa mfumo wa kurejea kazini wa mwaka 2024, kuajiriwa kwa wanagenzi na kuajiriwa kwa matabibu wa mpango wa afya kwa wote kwa masharti ya kudumu. Akizungumza wakati wa kutiwa saini kwa makubalino ya kurejea kazini katika afisi za wizara ya afya waziri wa afya Deborah Barasa alikiri azma ya serikali ya kushughulikia maswala makuu yaliyoibuliwa na matabibu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mgomo wa maafisa tabibu watamatika
- - LEVEL UP FRIDAYS ››
- - Duniani Leo ››
- 14 Mar 2025 - Bribery allegations have rocked the Machakos County Assembly after the majority's appointment committee approved Annastacia Munyaka's nomination as CEC for Water and Sanitation.
- 14 Mar 2025 - Police in Muhoroni Sub-county, Kisumu County are investigating the brutal murder of a 17-year-old female Form Four student whose decomposing body was found dumped in a sugarcane plantation in Migingo area.
- 14 Mar 2025 - U.S. President Donald Trump on Thursday threatened to slap a 200% tariff on wine, cognac and other alcohol imports from Europe, opening a new front in a global trade war that has roiled financial markets and raised recession fears.
- 14 Mar 2025 - This comes after Kenya hosted the RSF and its allies who signed a pact to form a parallel government.
- 14 Mar 2025 - Twelve people have been confirmed dead following a tragic road accident at Migaa area on the Nakuru-Eldoret Highway.
- 14 Mar 2025 - Among the recommendations put forward was the establishment of legal and policy reforms to address the issue.
- 14 Mar 2025 - A British jury on Thursday convicted a United Nations judge of forcing a young woman to work as a slave after tricking her into coming to the U.K.
- 14 Mar 2025 - This is a major change compared to the previous 8-4-4 curriculum.
- 14 Mar 2025 - Ridiculous Ruto
- 14 Mar 2025 - I've no regrets if I'm sacked, says CS Muturi