- 19 views
Wakaazi wa Kaloleni kaunti ya Kilifi wameelezea kufurahishwa kwao nbaada ya serikali ya kitaifa kuanzisha ujenzi wa kituo cha Huduma eneo hilo kwani itarahisisha kupata huduma za serikali. Akizungumza wakati wa sherehe ya kuweka jiwe la msingi huko kaloleni afisa mkuu wa kituo cha Huduma Ben Kai amethibitisha kuwa ujenzi wa kituo hicho utakamilika mwisho wa mwaka huu. Mradi huo utapunguzia wenyeji taabu ya kusafiri hadi mjini Mombasa kupata stakabadhi muhimu kama vile cheti cha kuzaliwa.aidha ameongeza kuwa wakaazi watapewa kipao mbele katika mradi huo wa ujenzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kituo cha Huduma chafunguliwa Kaloleni, Mombasa
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 19 Mar 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin began a critical phone call on Tuesday, with the White House saying the talks on securing a ceasefire in Moscow's invasion were "going well."
- 19 Mar 2025 - After overseeing the swearing-in of two presidents, former Registrar of the Judiciary Anne Amadi is now raring to oversee the 2027 General Election. Born and raised in Kitale, Trans Nzoia County, Amadi is among the prominent contenders for the…
- 19 Mar 2025 - The government has been urged by a Human Rights Watch (HRW) to conclude the inquiry into the discovery of 17 mutilated bodies at a quarry in Embakasi, Nairobi last year. HRW and Mukuru Community Social Justice Centre (MCSJC) said they want the state to…
- 19 Mar 2025 - Al Shabaab militants targeted Somalia's President Hassan Sheikh Mohamud in a bomb attack on his motorcade as it was traveling through the capital Mogadishu on Tuesday, the Islamist group said.
- 19 Mar 2025 - Health workers in strike threat as SHA warns of fake payment list
- 19 Mar 2025 - Mystery deepens as search for Brian Odhiambo stalls
- 19 Mar 2025 - Kuscco to sell off loan book in bid to recover Sh8.8b amid fraud
- 19 Mar 2025 - Mortuary staff defend funeral home in battle over lost heart
- 19 Mar 2025 - A 55-year-old woman has been sentenced to 50 years in prison or pay a fine of Ksh.50 million for trafficking 3.9 kilograms of heroin.
- 19 Mar 2025 - Medics condemn broken health system after doctor's tragic death