Skip to main content
Skip to main content

Polisi watumia nguvu kufungua barabara ya Kisumu-Busia baada ya wakaazi kufunga barabara

  • | Citizen TV
    2,133 views
    Duration: 1:34
    Polisi walilazimika kutumia nguvu kuifungua barabara ya Kisumu–Busia eneo la Buyangu, kaunti ya Vihiga, baada ya wakaazi wa Emuhaya kuifunga kwa saa kadhaa wakilalamikia kuongezeka kwa visa vya ukosefu wa usalama.