- 60 views
Jopo la uteuzi wa makamishna wa IEBC laendelea na usaili.
Leo ni siku ya pili ya mahojiano haya.
Mwenyekiti wa Jopo ni Nelson Makanda.
Erastus Edung Ethekon tayari amesailiwa.
Usaili wa Mwenyekiti kukamilika siku ya Jumatano.
Watu kumi na mmoja waliteuliwa ili kupigwa msasa katika nafasi ya mwenyekiti.
Wanaopigwa msasa leo ni Erastus Edung, Francis Kakai Kissinger, Jacob Ngwele Muvengei.
Aidha Joy Brenda Masinde Mdivo anasailiwa leo.
Usaili unafanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Bima South C, Nairobi.
Ili mtu awe Mwenyekiti wa IEBC anahitaji tajriba ya miaka 15 katika sheria.
Mbali na miaka 15 katika sheria sharti anayeteuliwa kuwa mwenyekiti awe na shahada.
Usaili wa makamishna utaanza siku ya Alhamisi.
Ibara ya 88 ya Katiba ya Kenya ndio msingi wa kuwepo kwa IEBC.
Kazi ya IEBC ni kusajili wapiga kura, kuratibu mipaka na kusimamia uchaguzi.
Aidha IEBC hutathimini namna vyama vya kisiasa vinavyoendesha mchujo.
Wanaotaka kuwa Makamishna wa IEBC watasailiwa kuanzia Alhamisi.
Kuna baadhi ya maeneobunge ambayo hayana wawakilishi bungeni.
#TV47Matukio @ruga_eval
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Jopo la uteuzi wa makamishna wa IEBC laendelea na usaili, awali Erastus Edung Ethekon alisailiwa
- - Duniani Leo ››
- 31 Mar 2025 - Police in Nyamira have arrested a pastor and a policeman suspected of having a hand in last week’s attack on a woman for allegedly refusing to perform the burial rite. The two, Elijah Omoi, a police officer based at Kisii Police Station, and Jones…
- 31 Mar 2025 - Police in Eldoret have arrested a middle-aged man over alleged involvement in a child trafficking syndicate in Uasin Gishu County. According to police investigations, the mastermind of the alleged syndicate is said to be working in cahoots with a…
- 31 Mar 2025 - Kenya engages US to safeguard exports amid Trump's tariff war
- 31 Mar 2025 - Endometriosis ruined my joy, health, and almost took my life
- 31 Mar 2025 - Detectives arrest eight in Nairobi fake title deeds syndicate
- 31 Mar 2025 - Hospital uses TikTok talks to transform maternal care
- 31 Mar 2025 - Why President is exposed without these five men from Mt Kenya
- 31 Mar 2025 - Parents anxious over flaws in senior school placement system
- 31 Mar 2025 - Babies exposed to HIV infection in drugs crisis
- 31 Mar 2025 - Ten counties flagged for bypassing official payroll systems to pay staff