- 41 views
Aliyekuwa naibu msajili mkuu wa idara ya mahakama Francis Kakai Kissinger ameliambia jopo linalowahoji watahiniwa wa nyadhifa mbalimbali katika tume ya IEBC kwamba alisimamishwa kazi na mahakama kwa kuidhinisha uchunguzi wa kesi ya sakata ya ufisadi ya shilingi milioni 300 mnamo mwaka 2015. Kissinger aliyekuwa miongoni mwa wawaniaji wanne waliohojiwa leo, alikanusha kuhusika na kesi hiyo ambapo ilipendekezwa afunguliwe mashtaka akiwa pamoja na aliyekuwa msajili mkuu wa idara ya mahakama wakati huo Gladys Boss Shollei kuhusiana na ununuzi wenye utata wa jumba la kifahari mtaani Runda la aliyekuwa jaji mkuu wakati huo. Abdiaziz Hashim ana maelezo ya kina kuhusu mahojiano hayo ya wadhifa wa uenyekiti wa tume hiyo ya uchaguzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Usaili wa mwenyekiti wa IEBC waingia siku ya pili
- - Zacosia Ramadhan Cup ››
- - Mashemeji Derby ››
- 30 Mar 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has commended the efforts being undertaken by Kenya in midwifing the regional peace processes in neighbouring countries.
- 30 Mar 2025 - EACC wanted to use the documents to demonstrate to court the movement of cash from county government accounts to a city-based law firm.
- 30 Mar 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale has appointed a committee to review pending bills owed to hospitals by the now defunct National Health Insurance Fund (NHIF), which the Social Health Insurance Fund (SHIF) replaced last October.
- 30 Mar 2025 - The Kenyan spent more than a decade behind bars after being sentenced to death.
- 30 Mar 2025 - A number of activities have been lined up as President William Ruto is expected to begin a tour of the Mt. Kenya region on Tuesday, April 1, 2025.
- 30 Mar 2025 - South Sudan's First Vice President Riek Machar is under arrest and will be investigated on charges of trying to stir up rebellion, the government said on Friday, the first confirmation of a detention that world powers fear could reignite civil war.
- 30 Mar 2025 - Ruto is expected to begin his tour in Laikipia and Nyeri counties on Tuesday, Meru and Kirinyaga on Wednesday, and Nyandarua and Murang'a on Thursday, and conclude the tour on Friday in Tharaka Nithi.
- 30 Mar 2025 - The conflict stems from a long-standing power struggle over military control and integration.
- 30 Mar 2025 - The agreement will last for seven years.
- 30 Mar 2025 - President Ruto had a light schedule with key meetings at State House