- 127 views
Makumi ya wachuuzi kutoka Nyamarambe kule NYAMARAMBE Mugirango Kusini kwa siku ya pili waandamana kufuatia madai ya ufisadi na mapendeleo kuwapa vibanda vya kuuza bidhaa zao. Wakizungumza katika soko hilo la Nyamarambe jumatatu, wafanyibiashara hao waliokuwa na ghadhabu wakitaka gavana wa kaunti ya Kisii Simba Arati kuingilia kati swala hilo upesi la.sivyo maandamano yatakuwa yakishihudiwa kila siku. Ata hivyo viongozi akiwemo mwenyekiti mpya wa Soko hilo Dennis Kenyanya wakikana madai hayo akisema watafanya mkutano na wachuuzi ili maelewano yapatikane.
Wafanyabiashara sokoni Nyamarambe waandamana kulalamikia ufisadi kwenye upeanaji wa vibanda
- 1 Apr 2025 - Fresh from a stellar 4 under par victory at the NCBA Kisii Open Shabana Trophy, amateur John Lejirma was in imperious form with a one-stroke lead in the opening round of the Sunshine Development Tour East Africa Swing’s Q-School at the Great Rift Valley…
- 1 Apr 2025 - Ex-IMF adviser: Kenya should improve safety nets for the poor
- 1 Apr 2025 - Kenyans, brace for a bumpy economic journey in the run-up to 2027 elections
- 1 Apr 2025 - SHA accused of ignoring employee concerns on salaries, job security
- 1 Apr 2025 - How young Kenyans are enslaved in Myanmar's dark digital underworld
- 1 Apr 2025 - Mini general election awaits new-look IEBC
- 1 Apr 2025 - Ruto starts make-or-break tour of Gachagua backyard
- 1 Apr 2025 - Why state, motorists are at odds on road tolling
- 1 Apr 2025 - "Not me", President Ruto denies initiating plan to impeach Gachagua
- 1 Apr 2025 - Father, three sons among seven kin killed in Naivasha road crash