- 1,610 views
Rais William Ruto amemtema Justin Muturi kutoka baraza la mawaziri kufuatia kipindi cha miezi ya jazba baina ya wawili hao. Kupigwa kalamu kwa Muturi kunajiri saa chache baada ya Rais Ruto kumsuta kutokana na kudhihiri mapungufu ya kikazi wakati wa kipindi chake akiwa katika afisi ya mwanasheria mkuu. Katika mabadiliko yaliyotangazwa na Rais mnamo Jumatano, mbunge wa Mbeere Kaskazini Geoffrey Ruku amechukua nafasi ya Muturi katika waziri wa utumishi wa umma na masuala ya wafanyakazi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Justin Muturi aachishwa kazi
- - Duniani Leo ››
- 1 Apr 2025 - Officials say Ms Wambui resigned from Nightigale Enterprises before the tender was awarded.
- 1 Apr 2025 - The UN estimates that 73 percent of the deaths were related to gang violence.
- 1 Apr 2025 - Former Chief Justice David Maraga was on Sunday urged by an MCA to drop his presidential bid and instead back former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i. Nyamira Majority Leader and Rigoma Ward Representative Nyambega Gisesa told Maraga the former…
- 1 Apr 2025 - Higher Education and Research department is grappling with myriad financial challenges despite this misuse.
- 1 Apr 2025 - Night of horror: Man hacked to death, wife's tongue chopped off
- 1 Apr 2025 - State questions private sector data as manufacturers push for tax cuts
- 1 Apr 2025 - Gusii leaders split over Matiang'i, Maraga's State House ambitions
- 1 Apr 2025 - A year on, Gen Ogolla's crash still unexplained
- 1 Apr 2025 - Court shields Telkom bosses from prosecution in Sh15b land dispute
- 1 Apr 2025 - Father, three sons among seven kin killed in Naivasha road crash