'Tunaishi kwa kazi hii ya kuimba na watoto tunasomesha'
Ulemavu umewanyima wengi fursa ya kuonesha ukubwa na ubora wa karama walizo jaaliwa, lakini kwa Daniel Maige na kundi lake ulemavu sio kikwazo, kwani licha ya kutoona wanatumia vipawa vyao vya muziki kutunga nyimbo na kupiga ala mbalimbali za muziki kwenye Barabara za Jiji la Dar es salaam.
Kwa Mara ya kwanza Daniel na wenzake walingia barabarani mwaka 2015 na tangu wakati huo hadi hii leo wanaendelea kuudhiirishia ulimwengu kuwa wamejaliwa karama za kipekee licha kukabiliana na changamoto mbalimbali kama vile usafiri, uchakavu wa vifaaa na hata kadhia ya kufurushwa na askari wa jiji baadhi ya maeneo.
Mwandishi wa BBC @eagansalla_gifted_sounds aliwatembelea na kuandaa tarifa ifuatayo.
#bbcswahili #tanzania #ulemavu
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
7 Apr 2025
- The multiagency security teams have intensified operations in the region as Al-Shabaab militants ramp up their activities.
7 Apr 2025
- The mass recruitment will be carried out in all 47 counties.
7 Apr 2025
- The man was travelling home with his family.
7 Apr 2025
- Boeing is poised to face a jury trial from Monday over the fatal 2019 crash of an Ethiopian Airlines 737 MAX plane, the first civil case related to the disaster to reach court.
7 Apr 2025
- Shaken hours earlier by a massive earthquake, Phatsakon Kaewkla's terror was magnified when he came home to find gaping cracks in the walls of his 22nd-floor Bangkok apartment.
7 Apr 2025
- Libya's central bank announced a 13.3% devaluation of the country's dinar currency on Sunday, setting the exchange rate at 5.5677 to the U.S. dollar effective immediately.
7 Apr 2025
- The multiagency security teams have intensified operations in the region as Al-Shabaab militants ramp up their activities.
7 Apr 2025
- The mass recruitment will be carried out in all 47 counties.
7 Apr 2025
- President William Ruto’s recent tour of the Mt Kenya region served as a litmus test following his falling-out with key regional leaders, particularly after the ouster of his former deputy, Rigathi Gachagua, last year. Gachagua’s removal sparked outrage…
7 Apr 2025
- The US state has reported more than 480 cases of measles so far this year as of Friday, a jump from 420 earlier in the week.
7 Apr 2025
- The Orange Democratic Movement (ODM) is to start its grassroots elections today. Party Secretary General Edwin Sifuna said the grassroots elections are designed to inspire active community involvement, fostering a sense of ownership and responsibility…
7 Apr 2025
- The man was travelling home with his family.
7 Apr 2025
- It targets two students with disabilities per county, offering them secondary and tertiary scholarships