- 135 views
Rais William Ruto amekosoa waraka uliotolewa na mdhibiti wa bajeti Margaret Nyakango, uliowapiga marufuku magavana kutoa fedha za basari kwa wanafunzi kwa msingi wa mkinzano wa majukumu. Rais alikosoa agizo hilo akisema lilikosa kuzingatia mahitaji ya watu, akiongeza kwamba wanafunzi kutoka familia masikini kwenye ngazi ya kitaifa na kaunti wanafaa kufadhiliwa ili waendelee na masomo yao. Ripota wetu Abdiaziz Hashim anatuarifu zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto azindua miradi ya maendeleo Nyandarua, Murang’a
- » The power of theatre: ‘Echoes of War’ joins plays that have faced similar fates since Jomo Kenyatta era11 Apr 2025 - “All the world’s a stage, and all the men and women merely players.” An excerpt from William Shakespeare’s play ‘As You Like It’ written in 1599.
- 11 Apr 2025 - Parents, residents express anger over mistreatment of Butere Girls students over play performance
- 11 Apr 2025 - A roach showed up for dessert at a fine city diner, we all responded with calm
- 11 Apr 2025 - AK reiterates commitment to fight doping, GBV and age cheating
- 11 Apr 2025 - Echoes of oppression: Play that ruffled government a sneak peek into current realities
- 11 Apr 2025 - Oilers seek to end Kabras Sugar dominance in Kenya Cup final
- 11 Apr 2025 - Jubilee Health Insurance doubles net profit to Sh910 million
- 11 Apr 2025 - Police in a spot for assaulting journalists in Nakuru
- 11 Apr 2025 - Raila: Oduor was more than my bodyguard
- 11 Apr 2025 - Court rejects LSK, Omtatah petition on 'State abductees'