Juhudi za kutafuta amani Sudan Kusini, katika Dira ya Dunia TV
Ujumbe wa ngazi ya juu wa Umoja wa Afrika umefika nchini Sudan Kusini kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuzuia kuzuka upya kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Mpango huo unafuatia kuzuiliwa kwa Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye ameshutumiwa na serikali ya Rais Salva Kiir kwa kujaribu kuchochea uasi-madai yanayohusishwa na mapigano ya hivi karibuni katika jimbo la Upper Nile. Mapema hii leo, Rais wa Uganda Yoweri Museveni alikutana na Rais Kiir Juba. Maelezo mahususi ya majadiliano hayo hayajawekwa wazi, lakini yale yanayoendelea nchini Sudan Kusini yameibua wasiwasi kuhusu uthabiti wa mkataba wa amani uliotiwa saini mwaka 2018.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
10 Apr 2025
- The number of candidates mysteriously increased in a span of 11 days.
10 Apr 2025
- This comes after an 11-storey building was demolished, and all the county staff involved in its construction were suspended
10 Apr 2025
- The lawyer was one of the leading counsels who successfully defended Ruto in his case before the ICC.
11 Apr 2025
- Sudan told the International Court of Justice Thursday that the United Arab Emirates was the "driving force" behind what it called a genocide in Darfur, a charge the UAE said "couldn't be further from the truth."
11 Apr 2025
- An Israeli military official said Thursday that reserve pilots, who publicly called for securing the release of hostages even at the cost of ending the Gaza war, would be dismissed from the air force.
11 Apr 2025
- Locals have threatened to stage major protests if the man is not transferred.
11 Apr 2025
- The Justice and Legal Affairs Committee of the National Assembly has sounded an alarm of possible duplication.
11 Apr 2025
- The legislation comes as consumers are grappling with high energy prices.
11 Apr 2025
- The play was also removed from the performance list and only okayed at the last minute.
11 Apr 2025
- Lawmakers from affected regions accuse state of lip service as students suffer.
11 Apr 2025
- A new audit has exposed a pattern of wasteful spending as top guns prioritise prestige over call to live within affordable means.
11 Apr 2025
- Prominent lawyer Katwa Kigen has withdrawn his candidacy for commissioner of the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC). Kigen (pictured), who was part of President William Ruto’s legal team at the International Criminal Court, cited…
11 Apr 2025
- Polygamous Tanzanian man, Haji Manara, and his third wife have parted ways just a year after they got married in a flashy traditional wedding in 2024.