- 1,187 views
Machifu watano waliotekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kaunti ya Mandera mnamo mwezi Februari wameachiliwa. Machifu hao walitekwa nyara wakati walipokuwa wakisafiri kutoka eneo la Wargadud kuelekea Elwak.Waziri wa usalama wa taifa, Kipchumba Murkomen, ambaye ameanza ziara ya siku sita eneo la Pwani alisema machifu hao sasa wamo mikonono mwa maafisa wa serikali ya Kenya na watawasili humu nchini hivi karibuni. Alisiffia juhudi za pamoja za serikali kuu na zile za kaunti pamoja na ushirikiano wa jamii kwa kufanikisha kuachiliwa kwa machifu hao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Machifu waliotekwa nyara Mandera kurejeshwa nyumbani
- 8 Apr 2025 - A survivor of the Kisii building collapse has shared chilling details of how he clung to life—breathing through a tiny gap in the rubble for six agonizing hours.
- 8 Apr 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has branded President William Ruto “the real commander” of Sudan's Rapid Support Forces (RSF) over alleged shady business deals with the paramilitary group’s leader, Mohamed Hamdan Dagalo, alias Hemedti.
- 8 Apr 2025 - Kenya has called for bold, science-driven solutions to tackle the global food security crisis. Speaking at the official opening of the CGIAR Science Week 2025 at the United Nations Headquarters i…
- 8 Apr 2025 - Kenyan national women’s football team, Harambee Starlets, will be back on the pitch this evening against Ivory Coast at the Félix Houphouët-Boigny Stadium in Abidjan. Today’s match venue is familiar to Kenya, following their 2-0 loss in the first…
- 8 Apr 2025 - A French court on Monday jailed for life an Algerian supporter of the Islamic State jihadist group after finding him guilty of attempted murder over a bomb attack that wounded 13 people in 2019.
- 8 Apr 2025 - KTDA power production up 32pc on rains
- 8 Apr 2025 - AGRA partners with Green Climate Fund to launch post-harvest food losses programme
- 8 Apr 2025 - Murkomen vows tough measures to end rising coastal gang violence
- 8 Apr 2025 - US Embassy backs press freedom amid threats
- 8 Apr 2025 - MP decries rise in road accidents as family buries six