- 12 views
Ni afueni kwa wakazi wa kaunti ndogo za Kinango na Lungalunga baada ya serikali ya kaunti ya Kwale kuzindua bwawa la maji litakalohudumia maeneo hayo. Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani amesema serikali ya kaunti hiyo inanuia kutatua suala la uhaba wa chakula katika eneo hilo, akisisitiza kwamba kipaumbele kitapewa maeneo kame ya Kinango, Samburu na Lungalunga. Wakazi wa kaunti hizo ndogo wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la njaa kwa miongo mingi kutokana na hali duni ya anga ambayo huathiri uzalishaji chakula.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kaunti ya Kwale yazindua bwawa la maji ili kukomesha njaa
- 8 Apr 2025 - A survivor of the Kisii building collapse has shared chilling details of how he clung to life—breathing through a tiny gap in the rubble for six agonizing hours.
- 8 Apr 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has branded President William Ruto “the real commander” of Sudan's Rapid Support Forces (RSF) over alleged shady business deals with the paramilitary group’s leader, Mohamed Hamdan Dagalo, alias Hemedti.
- 8 Apr 2025 - Kenya has called for bold, science-driven solutions to tackle the global food security crisis. Speaking at the official opening of the CGIAR Science Week 2025 at the United Nations Headquarters i…
- 8 Apr 2025 - Kenyan national women’s football team, Harambee Starlets, will be back on the pitch this evening against Ivory Coast at the Félix Houphouët-Boigny Stadium in Abidjan. Today’s match venue is familiar to Kenya, following their 2-0 loss in the first…
- 8 Apr 2025 - A French court on Monday jailed for life an Algerian supporter of the Islamic State jihadist group after finding him guilty of attempted murder over a bomb attack that wounded 13 people in 2019.
- 8 Apr 2025 - Survivors of 1998 bomb blast appeal for justice, compensation
- 8 Apr 2025 - Nakhumicha: I'm clean on Sh3.5b mosquito nets supply scandal
- 8 Apr 2025 - Decades apart, Ruto's development tours echo Kanu-style platform for roadside declarations
- 8 Apr 2025 - National glory at stake as Brookside term one games kick off in Mombasa
- 8 Apr 2025 - Jitters over Trump's 10pc tariff as data shows dip in EPZ jobs