- 5 views
Zaidi ya watu elfu-3 humu nchini wamenufaika na mpango wa kila wiki wa usambazaji chakula kwa hisani ya shirika moja lisilo la serikali. Akiongea wakati wa shughuli ya usambazaji wa chakula katika mtaa wa Mountain jijini Nairobi mwenyekiti wa shirika la Ananda Marga , Dinesh Kumar, alisema kuwa mpango huo ulioanzishwa mwaka 2020 pia unajishughulisha na mradi wa lishe shuleni ambao kufikia sasa umewanufaisha takriban wanafunzi milioni moja .Shirika hilo linalenga kuwasaidia zaidi ya watu elfu mia mbili kila mwezi
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Shirika la Ananda Marga latoa msaada kwa jamii
- 8 Apr 2025 - A survivor of the Kisii building collapse has shared chilling details of how he clung to life—breathing through a tiny gap in the rubble for six agonizing hours.
- 8 Apr 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has branded President William Ruto “the real commander” of Sudan's Rapid Support Forces (RSF) over alleged shady business deals with the paramilitary group’s leader, Mohamed Hamdan Dagalo, alias Hemedti.
- 8 Apr 2025 - Kenya has called for bold, science-driven solutions to tackle the global food security crisis. Speaking at the official opening of the CGIAR Science Week 2025 at the United Nations Headquarters i…
- 8 Apr 2025 - Kenyan national women’s football team, Harambee Starlets, will be back on the pitch this evening against Ivory Coast at the Félix Houphouët-Boigny Stadium in Abidjan. Today’s match venue is familiar to Kenya, following their 2-0 loss in the first…
- 8 Apr 2025 - A French court on Monday jailed for life an Algerian supporter of the Islamic State jihadist group after finding him guilty of attempted murder over a bomb attack that wounded 13 people in 2019.
- 8 Apr 2025 - Bloodshed, confusion mar ODM elections in Nyanza and Western
- 8 Apr 2025 - Kenya stares at vaccine crisis as US measles outbreak claims three
- 8 Apr 2025 - Ministry of Health sets up task force to scrutinise Sh33 billion NHIF debt
- 8 Apr 2025 - KTDA power production up 32pc on rains
- 8 Apr 2025 - AGRA partners with Green Climate Fund to launch post-harvest food losses programme