- 296 views
Watu watatu wanauguza majeraha ya panga baada ya vurumai kuzuka wakati wa uchaguzi wa mashinani wa chama cha ODM kaunti ya Homa Bay Kulingana na kamanda wa polisi eneo la Ndhiwa John Loisa, makundi mawili yalitofautiana wakati wa uchaguzi katika shule ya msingi ya Buche na kusababisha majeraha huku mmoja akikatwa mkono. Aidha uchaguzi huo pia ulichelewa kuanza katika kaunti ya Migori. Chama cha ODM kilianza upigaji kura katika maeneo ya wadi hii leo huku uchaguzi wa wawakilishi wa bunge ukitarajiiwa kufanyika Jumatano
Watu watatu wajeruhiwa kwenye uchaguzi wa ODM mashinani kaunti ya Homa Bay
- - Duniani Leo ››
- 8 Apr 2025 - A commander of a separatist rebel coalition operating in Mali's volatile north was arrested in Niger last week, local security sources told AFP on Monday.
- 8 Apr 2025 - The International Criminal Court Monday confirmed the award of 52 million euros (about Ksh.7.4 billion) to victims of a Ugandan warlord who pressed a brutal reign of terror as part of the Lord's Resistance Army commanded by fugitive Joseph Kony.
- 8 Apr 2025 - The morning sun cast long shadows as Abdulilah Mohamed, an elderly resident of Sharg Elnil in the Sudanese capital Khartoum, returned to his family home after fleeing from civil war.
- 8 Apr 2025 - Audit chief flags manual payment system, which allows for ghost workers
- 8 Apr 2025 - Gachagua's sentiments come days after Kahariri and Kanja received backlash from Kenyans.
- 8 Apr 2025 - He said "the main objective" was to protect Ukraine's Sumy and Kharkiv border regions.
- 8 Apr 2025 - The President openly called out the foundation at the height of the Gen Z protests.
- 8 Apr 2025 - The suspect had seduced her, she resisted and he did the unthinkable.
- 8 Apr 2025 - Vulnerability on trial: Ndhiwa court's decision forces mother to wait until November for DNA test.
- 8 Apr 2025 - In a TV interview, Mr Gachagua accused the President of dishonesty regarding his removal from office.