- 129 views
Mabingwa watetezi Gor Mahia sasa wako pointi tatu nyuma ya viongozi wa ligi kuu Police FC baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya KCB katika mechi iliyopangwa upya iliyochezwa kwenye uwanja wa Machakos. Mechi hiyo hapo awali ilipangwa kufanyika Jumapili alasiri lakini mvua kubwa huko Machakos ilifanya uwanja kujaa maji na usichezeke. Gor Mahia ilifunga bao la pekee katikati ya kipindi cha kwanza kutoka kwa nahodha austin odhiambo katika dakika ya 32. Wakiwa na mechi moja ya ziada, gor mahia wamezoa pointi 46, pointi mbili nyuma ya tusker fc katika nafasi ya pili na pointi tatu nyuma ya viongozi Police FC.
Gor Mahia yakaza kamba kwenye ligi
- - Duniani Leo ››
- 17 Apr 2025 - The European Commission on Wednesday included countries such as Egypt and Tunisia, where human rights have come under scrutiny, on a list of "safe countries" to which failed asylum seekers could be returned.
- 17 Apr 2025 - The Nairobi Government has rejected the closure of Lang’ata Cemetery, saying the decision can only be made by City Hall when an alternative burial site is provided. Reacting to the recent findings by the Ministry of Health that the facility has…
- 17 Apr 2025 - Head of Presidential Special Projects and Creative Economy, Dennis Itumbi, has condemned the violence meted out on Butere Girls Secondary School students while trying to play the Echoes of War play, citing that it was unnecessary.
- 17 Apr 2025 - Lawmakers yesterday told off National Treasury Cabinet Secretary John Mbadi over his explanations that ‘liquidity’ challenges are to blame for the delays in releasing the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF). This is after Mbadi,…
- 17 Apr 2025 - President Donald Trump called Harvard a "joke" Wednesday and said it should lose its government research contracts after the top US university refused to accept demands to come under outside political supervision.
- 17 Apr 2025 - Ex-couple fights over control of K'Osewe empire
- 17 Apr 2025 - Formal recognition of village elders closer as ministry seeks public views
- 17 Apr 2025 - Lomorukai under pressure to fire officials in Sh600m graft scandal
- 17 Apr 2025 - Uhuru, Ruto can't explain Sh13 trillion loan use, court told
- 17 Apr 2025 - CBK to lift 10-year ban on licensing new banks in July 2025