- 4,480 views
Familia ya Yusuf Ali Abdhi, ambaye anadaiwa kufukiwa na kifusi wakati jumba la orofa lilianguka katika eneo la Kona ya Kilifi mjini Mombasa, inaitaka serikali kuharakisha shughuli ya kutafuta mwili wake.Wakizungumza kwa uchungu, jamaa wa marehemu wameomba haki itendeke na uchunguzi wa haraka kufanyika. Wakati huo huo, Gavana wa Mombasa Abdulswamad Sharif Nassir amewasimamisha kazi maafisa wawili kutoka idara ya ujenzi na ardhi ili kutoa nafasi kwa uchunguzi huru kuhusu sababu ya kuporomoka kwa jengo hilo.
Familia Yataka Haki Baada ya Mpendwa Kufukiwa na Kifusi Mombasa
- 16 Apr 2025 - The dollar stabilised on Tuesday, edging up from a three-year low against the euro as risk sentiment improved, but also held near a six-month trough against the yen as investors worried about the impact of U.S. President Donald Trump’s trade tariffs on…
- 16 Apr 2025 - Ghana and the International Monetary Fund have reached a staff-level agreement on the fourth review of its Ksh.389 billion loan programme, the IMF said on Tuesday, which is set to unlock Ksh.49 billion upon approval by the Fund's executive board.
- 16 Apr 2025 - Pakistan last month set an early April deadline for some 800,000 Afghans carrying Afghan Citizen Cards (ACC) issued by the Pakistani authorities to leave the country, in the second phase of efforts to remove Afghans.
- 16 Apr 2025 - West Africa-focused oil and gas explorer Tullow Oil said on Tuesday it would sell its assets in Kenya to Gulf Energy Ltd for at least Ksh.15.5 billion as it works to reduce its debt.
- 16 Apr 2025 - A government-led investigation into Mediheal Hospital and Fertility Centre in Eldoret has unearthed serious gaps in the facility’s kidney transplant program, raising fresh concerns about possible organ trafficking involving foreign nationals.
- 16 Apr 2025 - Flying coffins: Shame of outdated KDF planes as VIPs get priority
- 16 Apr 2025 - Crashing the party in the male dominated coffee industry
- 16 Apr 2025 - Wetangula's Ford Kenya won't fold or merge with UDA
- 16 Apr 2025 - How three tech firms struck jackpot in e-Citizen deal
- 16 Apr 2025 - Why Kenya remains a giant economics lab globally