- 116 views
Waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen amesema serikali inathamini uhuru wa kujieleza na hailengi kumdhibiti au kumzuia yeyote kujieleza. Akizungumza katika Kaunti ya Tana River, Murkomen alisema serikali haikuwahi kuingilia au kuvuruga mchezo wa kuigiza wa ‘Echoes of War’ ambao ulipaswa kuigizwa na wanafunzi wa shule ya wasichana ya Butere siku ya alhamisi wakati wa Tamasha la 63 la Kitaifa la Michezo ya kuigiza na Filamu katika Kaunti ya Nakuru. Waziri alisema kile ambacho serikali inapinga ni wanasiasa wanaotumia shule kutatua tofauti za kisiasa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yatahadharisha dhidi ya siasa shuleni
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
- 22 Apr 2025 - Pope Francis touched down at the Jomo Kenyatta International Airport, minutes after 4 p.m. on the 25th of November, 2015, to a warm reception by the then President Uhuru Kenyatta.
- 22 Apr 2025 - Climate Scientists at the Igad Climate Predictions and Applications Center (ICPAC) are predicting that more than usual rainfall expected over most parts of Tanzania, Burundi, Rwanda, eastern Kenya, northern South Sudan and southern Sudan. “Moderate…
- 22 Apr 2025 - Role of Commissioner for Cooperatives questioned in Kuscco Sh13b saga
- 22 Apr 2025 - Youths dare dream as Nyanza's Junior Golf tourney highlights growth
- 22 Apr 2025 - The inconvenient truth about devolution, the environment
- 22 Apr 2025 - Mwangangi named SHA boss as Ingasira takes over in Finance
- 22 Apr 2025 - Tusker surge ahead of Police and Gor Mahia as title race heats up