- 80 views
Wakazi kutoka kaunti za kaskazini mwa Bonde la Ufa wamepinga vikali mapendekezo ya Shirika la Huduma za Misitu (KFS) yanayolenga kuweka usimamizi wa misitu ya umma mikononi mwa watu binafsi. Wakiongozwa na miungano ya kijamii ya misitu (CFA), wakazi waliotoa maoni yao katika kikao cha umma kilichofanyika Eldoret waliitaka Wizara ya Mazingira kufutilia mbali pendekezo hilo. Wanasema hatua hiyo inaweza kufungua mlango kwa watu binafsi kumiliki misitu ya umma kwa njia za ujanja na kuchochea unyakuzi wa ardhi.
Wakazi wa Bonde la Ufa Wapinga Usimamizi wa Misitu Kupewa Watu Binafsi
- - Duniani Leo ››
- 21 Apr 2025 - Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
- 21 Apr 2025 - A number of people are feared dead after a septic tank collapsed beneath a local football viewing hall in Bamburi Mwisho area, Nyali Constituency, Mombasa County.
- 21 Apr 2025 - Pope Francis was the 266th Pope of the Catholic Church.
- 21 Apr 2025 - Every morning, 34-year-old Duncan Murigi is pulled out of bed at his brother’s Kisii estate home in Thika with quiet determination. Born physically fit, Murigi lost both his arms and limbs to a tragic railway accident in 1998 while crossing the railway…
- 21 Apr 2025 - Kenya’s representatives in the ongoing CAV Africa Men’s Volleyball Club Championship, Kenya Prisons and Kenya Ports Authority (KPA), opened their campaign on a losing note as the elite African competition games kicked off in Misurata, Libya The…
- 21 Apr 2025 - The projects include improvement of roads and installation of lighting in key areas
- 21 Apr 2025 - The former cabinet secretary decried a lack of autonomy in making major appointments.
- 21 Apr 2025 - On 15-16 April, Kenya held its National Food Systems Summit, a critical moment to reflect on the progress made in transforming our agri-food systems. Under the theme “Fostering Collaboration, Innovation, and Inclusion for Resilient Food Systems”,…
- 21 Apr 2025 - The anti-terror and other tactical security teams have been strategically deployed at various undisclosed locations within the region to beef up security.
- 21 Apr 2025 - A distinct group has remained around Gachagua and keeps bulging.