- 73 views
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga na spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang'ula ni miongoni mwa viongozi mashuhuri waliotoa risala zao za rambirambi kufuatia kifo cha Papa Francis. Viongozi hao pamoja na baadhi ya wabunge, walikusanyika katika makao ya mwakilishi wa Baba Mtakatifu humu nchini jijini Nairobi, kunakili jumbe zao kwenye kitabu cha maombolezi na kutoa heshima zao za mwisho. Viongozi hao walikariri ushawishi mkubwa wa Papa Francis sio tu kama kiongozi wa kiroho, mbali kama ishara ya amani, upendo na haki ulimwenguni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Viongozi watoa rambirambi zao kufuatia kifo cha Papa Francis
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 25 Apr 2025 - The government has backtracked on its plans to make mathematics in senior school optional. Basic Education PS Julius Bitok yesterday clarified that the subject will remain compulsory up to senior secondary. He announced that the government has formed a…
- 25 Apr 2025 - A simple, marble tomb nestled in a niche of a Roman basilica beloved by Pope Francis will mark the pontiff's last resting place, the Vatican said on Thursday, releasing an image of the project.
- 25 Apr 2025 - Jubilee Life Insurance posts Sh2.1b net profit
- 25 Apr 2025 - As mid-term beckons, MPigs grunt it's their turn to fill up tanks
- 25 Apr 2025 - Murder most foul: Family wiped out in 'revenge' arson
- 25 Apr 2025 - Diplomatic goof: Ruto's remarks risk deepening Kenya's isolation
- 25 Apr 2025 - Kenyan businesses urged to tap into lucrative Chinese market
- 25 Apr 2025 - Uplift marginalised regions, legislators challenge President
- 25 Apr 2025 - MPs call for end to Minet teachers' medical scheme
- 25 Apr 2025 - Report proposes revised schools funding model